Simba inao wachezaji wazuri Ila hawapewi nafasi tofauti na Yanga

Simba inao wachezaji wazuri Ila hawapewi nafasi tofauti na Yanga

Action and Reaction

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2021
Posts
1,438
Reaction score
1,496
Kinachoibeba Yanga ni kitendo cha wao kuwajaribu wachezaji wao waliowasajili na sio kwa dakika tano bali wanapewa muda mwingi uwanjani tofauti na Simba ambavyo inasajili wachezaji Ila haiwapi nafasi ya kutosha mfano Luiz Miqson ni mtu anayepaswa kupewa muda mwingi uwanjani ili akili + fitness yake iwe timamu!

Luis ni mtu anayeweza kuleta hamasa ndani ya timu akipewa nafasi Ila kocha hamwamini!
🆗 ILA YANGA JANA MLICHOFANYA DAAAAÀ!
 
Yanga kiufupi washajipata yani kila ataesajiliwa akipewa ataonyesha kitu
 
Kinachoibeba Yanga ni kitendo cha wao kuwajaribu wachezaji wao waliowasajili na sio kwa dakika tano bali wanapewa muda mwingi uwanjani tofauti na Simba ambavyo inasajili wachezaji Ila haiwapi nafasi ya kutosha mfano Luiz Miqson ni mtu anayepaswa kupewa muda mwingi uwanjani ili akili + fitness yake iwe timamu!

Luis ni mtu anayeweza kuleta hamasa ndani ya timu akipewa nafasi Ila kocha hamwamini!
[emoji678] ILA YANGA JANA MLICHOFANYA DAAAAÀ!
Labda Chasambj, Miquisone ni flop.
 
tatizo wanasimba muda mwingine ushabiki mbele kuliko uhalisia, muda mrefu tu wengi waliua wakilalamikia timu inashinda shinda kibahati bahati tu, sasa maji yameanza jitenga na mafuta. na tuombe sana game ya mwisho tushinde
 
Back
Top Bottom