Huu ni upoyoyo mkubwa sana. Simba ikifungwa na mchezaji yeyote anataka kumsajili.
Ni rekodi ya pekee haijafanywa na timu yoyote duniani.
Tumieni akili
Kwani hastahili kutoa huduma simba?Huu ni upoyoyo mkubwa sana. Simba ikifungwa na mchezaji yeyote anataka kumsajili.
Ni rekodi ya pekee haijafanywa na timu yoyote duniani.
Tumieni akili
usijitese na Simba, hasira, stress zinaharibu Figo. Sasa unaharibikiwa figo kwasababu ya mafanikio ya Simba?Hakuna lolote, simba hakuna timu hapo
Timu imeenda Manungu, hao walioenda Morocco kupitia Ulaya hakuna kituHakuna lolote, simba hakuna timu hapo
Mwingine?Harudi huyu[emoji23][emoji23]
Ushamba wenuMsamehe Bure Huyo Ndiyo Wauza Jezi Bila Takwimu Wanajisemea Tu
Unayejua una hali gani?Makolo Ndivyo Walivyo.[emoji23]
Alikufanya ndiyo maana unamtajaKwani hastahili kutoa huduma simba?
Team Kabwili bwana
Kumbe unafanyagwa eeehAlikufanya ndiyo maana unamtaja
Hivi Chikwende bado yupo ?Huu ni upoyoyo mkubwa sana. Simba ikifungwa na mchezaji yeyote anataka kumsajili.
Ni rekodi ya pekee haijafanywa na timu yoyote duniani.
Tumieni akili
WaulizeeKwani Adebayo aliifunga lini Simba ?
Au Mses phili au Mugalu. Au Sacho na Banda ?
Hivi unajua Man U walimjuaje Ronaldo? Au ni mtoto wa juzi kwenye kufuatilia soka?Huu ni upoyoyo mkubwa sana. Simba ikifungwa na mchezaji yeyote anataka kumsajili.
Ni rekodi ya pekee haijafanywa na timu yoyote duniani.
Tumieni akili