Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Wakuu
Team yetu ya simba kwa sasa iko vibaya sana na hovyo, kiasi kwamba hata mechi zimekuwa za kuunga unga, tunaogopa hata kucheza na kina kagera..!
Kiuongozi pia team yangu pendwa inazama sana kwani tajiri yetu MO anazidi kujitajirisha na kuleta migogoro ndani ya timu kupitia CEO wake Barbra.
Hata kiuwezo tumesajiri wachezaji wengi wa kawaida na kwa kukurupuka sana tofauti na wenzetu yanga.
Hebu fikiria sisi simba wa kushinda kamoja kamoja kweli?
Sisi simba brand kubwa hata kujenga uwanja kama wa ihefu mpka tuchangishane/ kutembeza bakuri.
Angalia yanga wamemchukua Denis nkane ambaye ni promising talent kutokana na umri wake, sisi tunakazania wazee kina bocco, onyango, kapombe, wawa, kagere, hawa walipaswa kucheza championship huko..
Simba yangu inazama, shauri chochote kabla team yetu haijazama..
Team yetu ya simba kwa sasa iko vibaya sana na hovyo, kiasi kwamba hata mechi zimekuwa za kuunga unga, tunaogopa hata kucheza na kina kagera..!
Kiuongozi pia team yangu pendwa inazama sana kwani tajiri yetu MO anazidi kujitajirisha na kuleta migogoro ndani ya timu kupitia CEO wake Barbra.
Hata kiuwezo tumesajiri wachezaji wengi wa kawaida na kwa kukurupuka sana tofauti na wenzetu yanga.
Hebu fikiria sisi simba wa kushinda kamoja kamoja kweli?
Sisi simba brand kubwa hata kujenga uwanja kama wa ihefu mpka tuchangishane/ kutembeza bakuri.
Angalia yanga wamemchukua Denis nkane ambaye ni promising talent kutokana na umri wake, sisi tunakazania wazee kina bocco, onyango, kapombe, wawa, kagere, hawa walipaswa kucheza championship huko..
Simba yangu inazama, shauri chochote kabla team yetu haijazama..