Simba inaweza kumshangaza Mwarabu

Simba anamechi ngumu sana me naona 70%,30%. Naona watu wanajifarishi ety simba kwa mkapa ashinde 2:0 halafu akashikilie bomba Morocco?
Vp is it impossible....
 
Kwa Mkapa Simba anashinda No doubt hasa kama mechi itapigwa saa 10 ila kama saa moja watashuhudia dance Moja matata kutoka Morroco
Ila kule Casablanca ndiko shughuli itakapokuwa nzito maana atakula 8 ili kurejesha goli zake za mkapa
Raja mbna alimvuna kolo 3 Kwa mkapa
 
Facts
 
Simba "tatu mzuka fc" sote tunajua ni kawaida yao kuishia robo fainali uwezo mdogo japo spika zake zinapiga hadi mars, hatutaki makelele!!
Bado wanaendelea kupata uzoefu
 
Beki mwenyewe ni onyango
 
Kabla ya kupost hakiki hii orodha kama timu lako lipo hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…