ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
Umeuliza swali umejibiwa tayari, hakuna cha ziada Simba na wasafi ni kawaida kutupigia promo hata MO aliwai kwenda studio yao na boss wao akatutungia nyimbo na Simba day akapiga showIlitakiwa umwambie wewe unayejua makubaliano ya malipo yao si umesema kitenge amelipwa apige promo?
Tusubiri msimu wa mashindano uanzeSimba inazidi kutumbukia shimoni kabisa na viongozi wasipoliona hili basi msimu huu watagombea nafasi na kina singida big stars..!
Napoteza muda kulijibu bambukicha jezangu kama wewe bora niwafate simba wenzangu wenye akili. Wenzio wanajadili lakini wewe unawaza mabomu ππANASHANGAA SIMBA DAY HAJUI HATA SIMBA NA YANGA, MWENYEJI WA MECHI HULIPIA PROMO KWENYE HIZO RADIO ...HALAFU MTOA MADA ANA MA CONFIDENCE YOTE KWAMBA KALIPUA BOMU MASKINI WEEE
Bado walikuwa kijijini hawa vibwengoMAKOLO UNAAMNISHA ILE YA BAKITA MAKOLO MJOMBA AU MAKOLO YA JEZI MAKOLOKOLO? MAANA KUNA JEZI NI ZAIDI YA MAKOLOMAKOLO
oyaaa promo huwa zinalipiwa, siyo wasafi tu hata clouds na efm wamelipywa hela its been like that for years sasa washamba hawa maskini sijui huwa wanawaza nini watu wengine dah
Na kushangaza naye alilipia interview akiwa na manara uongo kweli?Umeuliza swali umejibiwa tayari, hakuna cha ziada Simba na wasafi ni kawaida kutupigia promo hata MO aliwai kwenda studio yao na boss wao akatutungia nyimbo na Simba day akapiga show
Hahahhaha dah acha kutuumbua mkuu eti naskia na yanga wamelipia promo efm je ni lini na wapi? Kuna jamaa mwenzangu hapo njaakali amesema je kweli?Leo nilikuwa nacheck Wasafi Arena.. Yaan promo kama zote halafu viingilio vyao vyenyewe ni ushuziππ
Uko pande gani mwamba unateseka namna hii?Wakuu.
Naumizwa sana na klabu kubwa namba moja africa yenye mataji lukuki ya kimataifa ikiwemo CAFCL. Kuzidi kuporomoka namna hii na kukosa ushawishi kabisa kwanzia uwanjani mpaka nje ya uwanja..!
Majuzi kwenye kipindi cha michezo wasafi kuna msikilizaji aliuliza " "mbona mnapigia promo sana simba day pekee vipi kuhusu week ya mwananchi?"
Kwa hamaki ndipo yule mtangazaji akajibu "hii ni biashara wamelipia tusiharibiane biashara"
Sasa nimegundua tofauti.
Yanga wao kuelekea tamasha lao kesho hawajalipia sana promo redioni wala kwenye TV's. Bali wameenda kisasa zaidi kwa kuhamasisha mitandaoni na kwa kuwa wana mashabiki wengi zaidi basi hata wasipofanya promo tamasha litajaa na kufana sana na hii ndiyo maana ya team kubwa,
Ukiachana na hilo la kumleta kocha fundi pitso mosimane kitu ambacho simba wanajinasibu wakubwa hawawezi zaidi ya kuwaleta kina zuchu na wale st George...
Hapa imeonekana wazi team gani hasa ni kubwa na yenye mashabiki wengi licha ya simba kufanya promo kutwa kucha na kusaini mkataba na clouds kabisa lakini hawatojaza uwanja na wengi wataokuja ni wale mashabiki wa yanga kuja kuona vituko basi..
Simba inazidi kutumbukia shimoni kabisa na viongozi wasipoliona hili basi msimu huu watagombea nafasi na kina singida big stars..!
Team mpaka sasa inapiga kalenda kila siku kuhusu jezi mpya zinatoka lini? Nk Madudu na viongozi waliojaa hapo ni wafunga vikao na wafungua vikao kama alivyo yule jamaa mropokaji (mangungu)
Iokoeni simba wajameni yetu wajameni sisi mashabiki ndio tunaoumia..
Yaaanga Ni brand kubwa Mzee hatunaga hizo shida labda Majizo mwenyewe kaamua kutubariki tuHahahhaha dah acha kutuumbua mkuu eti naskia na yanga wamelipia promo efm je ni lini na wapi? Kuna jamaa mwenzangu hapo njaakali amesema je kweli?
Ambapo ushindani kwa asilimia kubwa utatoka kwa azam, dingida,geita,Tusubiri msimu wa mashindano uanze
Huyu ni mshamba na limbukeni apuuzwe tu kapewa kismartphone ndiyo anajifunza kukitumia.ANASHANGAA SIMBA DAY HAJUI HATA SIMBA NA YANGA, MWENYEJI WA MECHI HULIPIA PROMO KWENYE HIZO RADIO ...HALAFU MTOA MADA ANA MA CONFIDENCE YOTE KWAMBA KALIPUA BOMU MASKINI WEEE
Simba damuUko pande gani mwamba unateseka namna hii?
Amka usije kujikojoleaSioni uhakika wa sisi simba kutoboa msimu ujao..
Sasa mbona kaleta habari ya april 27 je week ya tamasha lenu la mwananchi ni mwezi huo?Yaaanga Ni brand kubwa Mzee hatunaga hizo shida labda Majizo mwenyewe kaamua kutubariki tu
Mbona povu ndugu simba mwenzangu?Huyu ni mshamba na limbukeni apuuzwe tu kapewa kismartphone ndiyo anajifunza kukitumia.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Uzuri kumbukumbu huwa hazipotei utanikumbuka mkuu.Amka usije kujikojolea
Endelea kuota sisi tunaendelea na utaratibu wetu toka enzi , kama mwekezaji wetu aliwai kwenda studio kupiga promo sasa kulipia pesa ndio kitu gani!! Coca-Cola inajulikana dunia nzima lakini mpaka leo wana bajeti ya matangazo kwa ajili ya kulipia promo, akili zenu fupi utopolo huwezi elewaNa kushangaza naye alilipia interview akiwa na manara uongo kweli?
Hizi mambo za kulipia interview zimeanzia huku simba yanga tunawaonea tu.
Simba hakuna machoko baki huko hukoMbona povu ndugu simba mwenzangu?
Cha ajabu wewe mjanja kila siku unapigwa ban , huoni wewe ndio mshamba hujui matumizi sahihi ya kuacha kutumia lugha za matusi na ma sicker yako yale umeacha kutumia.?[emoji23][emoji23]
Kweli mjinga huwa hajijui
Mods tandikeni ban huyu [emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
Unakimbilia kwa mods nipigwe ban kwani mimi najali? Napigwa ban kwa kuwanyoosha michichamwiba kama wewe.Mbona povu ndugu simba mwenzangu?
Cha ajabu wewe mjanja kila siku unapigwa ban , huoni wewe ndio mshamba hujui matumizi sahihi ya kuacha kutumia lugha za matusi na ma sicker yako yale umeacha kutumia.?[emoji23][emoji23]
Kweli mjinga huwa hajijui
Mods tandikeni ban huyu [emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
Hapa tunazidi kujua nani mshamba wa smartphone.Simba hakuna machoko baki huko hukoView attachment 2315013
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app