Rogers luyangi
JF-Expert Member
- Sep 15, 2014
- 552
- 948
Wenye akili ni wawili tuu usihangaike nao hawaEndelea kuota sisi tunaendelea na utaratibu wetu toka enzi , kama mwekezaji wetu aliwai kwenda studio kupiga promo sasa kulipia pesa ndio kitu gani!! Coca-Cola inajulikana dunia nzima lakini mpaka leo wana bajeti ya matangazo kwa ajili ya kulipia promo, akili zenu fupi utopolo huwezi elewa
Sababu una ushamba kutukana ndio unaona ujanja?Unakimbilia kwa mods nipigwe ban kwani mimi najali? Napigwa ban kwa kuwanyoosha michichamwiba kama wewe.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Muulize mwenyewe mkuu Mimi sifahamuSasa mbona kaleta habari ya april 27 je week ya tamasha lenu la mwananchi ni mwezi huo?
Wewe kuandika thread ambayo haiakisi ukweli huo ndiyo ushamba. Mimi nakuona mbwiga tu.Hapa tunazidi kujua nani mshamba wa smartphone.
Sasa hizi picha za watu unahifadhi kwenye simu yako za nini kama sio ushamba wenyewe? Daah nimesikitika [emoji23][emoji23][emoji23]
Huko Yanga wenye akili ni wawili tu nyie wote vilaza tuSababu una ushamba kutukana ndio unaona ujanja?
Unatuaibisha simba wenzio
Kwenye vinyesi mwenye hoja ni Sunday Manara na Kikwete tuJikite kwenye hoja.
Cocacola= bidhaa soda.Endelea kuota sisi tunaendelea na utaratibu wetu toka enzi , kama mwekezaji wetu aliwai kwenda studio kupiga promo sasa kulipia pesa ndio kitu gani!! Coca-Cola inajulikana dunia nzima lakini mpaka leo wana bajeti ya matangazo kwa ajili ya kulipia promo, akili zenu fupi utopolo huwezi elewa
Sasa hivi umetoka kukiri kuwa promo tunalipia.Wewe kuandika thread ambayo haiakisi ukweli huo ndiyo ushamba. Mimi nakuona mbwiga tu.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Mbona unawashwa sana na mambo ya Simba wewe chura?Cocacola= bidhaa soda.
Simba= team ya soka, taasisi yenye wachezaji na viongozi mbalimbali..
Cocacola inafanya matangazo wanywaji wajue bidhaa mpya wanywe.
Simba wao wanatangaza kwenye page zao kuhusu kitu fulani either simba day si simba ndio team yenye followers wengi mitandaoni ukanda huu?
Why uende kufanya promo redioni ikiwa unao mtaji wa mashabiki mitandaoni?
Kama ndio utaratibu mbona huwa hawafanyi promo ya usajili mpya redioni hapo wasafi?
Mnaniangusha simba wenzangu tuwe waelewa na tuache uzembe.
Nimekiri wapi mbona unachachawa dada punguza wengeSasa hivi umetoka kukiri kuwa promo tunalipia.
Sasa kipi nimedanganya? Inalipiwa au uongo?yaani nabaki nacheka tu [emoji23]
Huyo mtangazaji ni mtu wa masoko?Noo
Hujaelewa vizuri ni mtangazaji wa wasafi aliulizwa na msikilizaji kwanini muda wote wanafanya promo simba day tu?
Akajibiwa kuwa hiyo imelipiwa hivyo yanga wakitaka nao walipie..
Sasa team kubwa inalipia promo iweje? Wanaogopa ? Au nini?
NoKwa hyo mmemsajili mosimane.?
Ila utopolo
Ila mnanifanya nicheke sanaHuyo mtangazaji ni mtu wa masoko?
Aiseee wewe jamaa ni bogus kabisa kabisa kwahiyo unafikiri kila mwana Simba anao uwezo wa kumiliki simu janja? au unafikiri huko mitandaoni tunaenda na baiskeli hopeless radio ni muhimu sana maana wahitaji wapo wengi tuuCocacola= bidhaa soda.
Simba= team ya soka, taasisi yenye wachezaji na viongozi mbalimbali..
Cocacola inafanya matangazo wanywaji wajue bidhaa mpya wanywe.
Simba wao wanatangaza kwenye page zao kuhusu kitu fulani either simba day si simba ndio team yenye followers wengi mitandaoni ukanda huu?
Why uende kufanya promo redioni ikiwa unao mtaji wa mashabiki mitandaoni?
Kama ndio utaratibu mbona huwa hawafanyi promo ya usajili mpya redioni hapo wasafi?
Mnaniangusha simba wenzangu tuwe waelewa na tuache uzembe.
Nadhani hata kuelewa umeshindwaAiseee wewe jamaa ni bogus kabisa kabisa kwahiyo unafikiri kila mwana Simba anao uwezo wa kumiliki simu janja? au unafikiri huko mitandaoni tunaenda na baiskeli hopeless radio ni muhimu sana maana wahitaji wapo wengi tuu
Muhimu umeelewa kuwa sio mashabiki wa Simba wote wanaweza kumiliki smartphone hili limeisha, hivyo mashabiki waliobaki wapo watakao soma kwenye magazeti, wapo watakao sikiliza radio na wapo watakao angalia kwenye TV, hivyo basi tupo wasafi kwa ajili ya mashabiki wetu, hata mmoja akisikia habari ya Simba kwenye wasafi ujumbe umefika, siku nyingine usivamie mtumbwi wa kibwengo utaumia sana kama unavyo dharirika sasaNadhani hata kuelewa umeshindwa
Asilimia kubwa sana wana uwezo huo kumiliki smartphone..kuliko chache wasio nazo
Still bado kuna magazeti..
Halafu wasafi inashika mikoa mingapi kwamba inawafikia watu? Hebu tutajie ππ
Naona nimekupa za uso unakwepaMuhimu umeelewa kuwa sio mashabiki wa Simba wote wanaweza kumiliki smartphone hili limeisha, hivyo mashabiki waliobaki wapo watakao soma kwenye magazeti, wapo watakao sikiliza radio na wapo watakao angalia kwenye TV, hivyo basi tupo wasafi kwa ajili ya mashabiki wetu, hata mmoja akisikia habari ya Simba kwenye wasafi ujumbe umefika, siku nyingine usivamie mtumbwi wa kibwengo utaumia sana kama unavyo dharirika sasa