Simba inazidi kutumbukia shimoni, kumbe hata simba day wanalipia promo..!

Simba inazidi kutumbukia shimoni, kumbe hata simba day wanalipia promo..!

Umeandika kama unakufa. Kinachokuuma ni strategy za simba kuelekea simba day au ni kutokufanya kama Yanga? Maana kama hoja ni kwamba simba inafeli kufanya promo kuelekea simba day mbona ume compare na Yanga ? Ungefanya critical analysis kwenye statrgey za simba kuelekea simba day na siyo kusema Yanga kafanya hivi au vile.

Swala LA mashabiki liko wazi siku zote Yanga ana mashabiki wengi hii inaonekana kwenye takwimu za mapato ya uwanjani .
Kwahiyo tunakubaliana kwamba simba wanajua wazi hawawezi kujaza uwanja na hata kuuza jezi msimu huu ndio maana wamechelewa sababu ya poor strategy zao.
 
Clouds fm kwenye kipindi cha sports extra wana toa matangazo ya team zote mbili sasa huyu sijui anaongelea promo gani.
Acha maneno matupu leta ushahidi.
 
MC wa shughuli ni Kitenge wa EFM sasa unataka walipe nini tena wewe Kibwengo
Amepewa kazi nje ya ofisi yake (efm na tv e)
Hiyo sio hoja nzito swali kwanini wanalipia ikiwa wao ni team kubwa Africa?
 
Sasa kulipia promo ni kitu cha ajabu???mkuu una tatzo binafsi na wasafi fm au???
Noooo
Nimeeleza ukweli ulipo na ni kweli simba tunahangaika kulipia promo tamasha letu liende na naona wazi linakwenda kufeli wazi wazi, hakuna mbinu nyingine?
 
Kwahiyo anafanya kazi ya u MC bure?

Mungu ambariki sana 😂
OYAA MUNGWANA AKIVULIWA NGUO HUCHUTAMA SIYO KUACHIA MPALANGE WAKE WAZIWAZI
promo.JPG
 
Kumbe ni maoni ya wachambuzi uchwara unatuletea
Noo
Hujaelewa vizuri ni mtangazaji wa wasafi aliulizwa na msikilizaji kwanini muda wote wanafanya promo simba day tu?

Akajibiwa kuwa hiyo imelipiwa hivyo yanga wakitaka nao walipie..
Sasa team kubwa inalipia promo iweje? Wanaogopa ? Au nini?
 
Hili kamwambie yeye wasafi kupiga promo kwa Simba kawaida, hata boss wao aliwai kututungia na nyimbo, au ulikuwa hujafika mjini?
ANASHANGAA SIMBA DAY HAJUI HATA SIMBA NA YANGA, MWENYEJI WA MECHI HULIPIA PROMO KWENYE HIZO RADIO ...HALAFU MTOA MADA ANA MA CONFIDENCE YOTE KWAMBA KALIPUA BOMU MASKINI WEEE
 
Ni wachawi pekee watakuja kukubisha hapa mkuu.. Makolo ni Makolo tu siku zote
 
Noo
Hujaelewa vizuri ni mtangazaji wa wasafi aliulizwa na msikilizaji kwanini muda wote wanafanya promo simba day tu?

Akajibiwa kuwa hiyo imelipiwa hivyo yanga wakitaka nao walipie..
Sasa team kubwa inalipia promo iweje? Wanaogopa ? Au nini?
Wasafi na Simba dam dam , hadi MO aliwai kwenda hapo studio na Diamond aliwai kutunga nyimbo ya Simba , sasa hivi una staajabu kipi?
 
Hili kamwambie yeye wasafi kupiga promo kwa Simba kawaida, hata boss wao aliwai kututungia na nyimbo, au ulikuwa hujafika mjini?
Ilitakiwa umwambie wewe unayejua makubaliano ya malipo yao si umesema kitenge amelipwa apige promo?
 
Wakuu.
Naumizwa sana na klabu kubwa namba moja africa yenye mataji lukuki ya kimataifa ikiwemo CAFCL. Kuzidi kuporomoka namna hii na kukosa ushawishi kabisa kwanzia uwanjani mpaka nje ya uwanja..!

Majuzi kwenye kipindi cha michezo wasafi kuna msikilizaji aliuliza " "mbona mnapigia promo sana simba day pekee vipi kuhusu week ya mwananchi?"

Kwa hamaki ndipo yule mtangazaji akajibu "hii ni biashara wamelipia tusiharibiane biashara"

Sasa nimegundua tofauti.
Yanga wao kuelekea tamasha lao kesho hawajalipia sana promo redioni wala kwenye TV's. Bali wameenda kisasa zaidi kwa kuhamasisha mitandaoni na kwa kuwa wana mashabiki wengi zaidi basi hata wasipofanya promo tamasha litajaa na kufana sana na hii ndiyo maana ya team kubwa,

Ukiachana na hilo la kumleta kocha fundi pitso mosimane kitu ambacho simba wanajinasibu wakubwa hawawezi zaidi ya kuwaleta kina zuchu na wale st George...

Hapa imeonekana wazi team gani hasa ni kubwa na yenye mashabiki wengi licha ya simba kufanya promo kutwa kucha na kusaini mkataba na clouds kabisa lakini hawatojaza uwanja na wengi wataokuja ni wale mashabiki wa yanga kuja kuona vituko basi..

Simba inazidi kutumbukia shimoni kabisa na viongozi wasipoliona hili basi msimu huu watagombea nafasi na kina singida big stars..!

Team mpaka sasa inapiga kalenda kila siku kuhusu jezi mpya zinatoka lini? Nk Madudu na viongozi waliojaa hapo ni wafunga vikao na wafungua vikao kama alivyo yule jamaa mropokaji (mangungu)

Iokoeni simba wajameni yetu wajameni sisi mashabiki ndio tunaoumia..
KINYESI

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Ni wachawi pekee watakuja kukubisha hapa mkuu.. Makolo ni Makolo tu siku zote
MAKOLO UNAAMNISHA ILE YA BAKITA MAKOLO MJOMBA AU MAKOLO YA JEZI MAKOLOKOLO? MAANA KUNA JEZI NI ZAIDI YA MAKOLOMAKOLO
Wasafi na Simba dam dam , hadi MO aliwai kwenda hapo studio na Diamond aliwai kutunga nyimbo ya Simba , sasa hivi una staajabu kipi?
oyaaa promo huwa zinalipiwa, siyo wasafi tu hata clouds na efm wamelipywa hela its been like that for years sasa washamba hawa maskini sijui huwa wanawaza nini watu wengine dah
 
Back
Top Bottom