Simba inazidiwa na Yanga kwa propaganda

Hizo takwimu ni Yanga kaxitoa? Mbona Hao hao walipotoa kuhusu Simba ulikuwa unapita road na kidedea?
Sasa ndugu bila kujali nani katoa Takwimu ,hivi inakuingia akilini au hata moyoni tu,kuwa Yañga ni Bora kuliko Mamellod! Inashika no 3 ! Hebu tusimkufuru Mungu Kwa kutumia vizuri uuambaji,ikiwemo kufikiri Kwa viungo husika!
 
Sasa ndugu bila kujali nani katoa Takwimu ,hivi inakuingia akilini au hata moyoni tu,kuwa Yañga ni Bora kuliko Mamellod! Inashika no 3 ! Hebu tusimkufuru Mungu Kwa kutumia vizuri uuambaji,ikiwemo kufikiri Kwa viungo husika!
Sasa inakuwaje uje hapa uilaumu Yanga? Mtu yeyote anayefanya research anajua mwenyewe kwa vigezo vyake alivyoweka kupata conclusion hiyo,so mnapopayuka payuka as if hizo takwimu kaleta Ali Kamwe ni zaidi ya umbumbumbu, then pambaneni na timu yenu Ahmed jana alikuwa analia lia huko Tunduma
 
Naunga mkono hoja. Idara ya propaganda ya Yanga iko vizuri
 
Mkaamini katika propaganda badala ya ubora wa Yanga, na mwisho wa siku mkapewa hello 5
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…