Simba isingepigwa 5 na Yanga ingekuwa vile vile ,kupigwa na Yanga imeweka wazi kwamba ilikuwa mbovu na kushusha kiburiInaitwa HAMSA. Lakini tukupumbuke pia kuwa yaliopita si ndwele.
Ahmed Ali alipoonywa na Jane Kishai wa Mpenja TV kuwa Yanga imepanga kuwashusia kipigo cha 5G alicheka kwa dharau sana. Video yake sijui iko wapi lakini iliwahi kuwekwa hapa JF
Mkuu, hiyo ya Arsenal kufungwa 8 ni miaka mingi sana imepita. Si ungetoa mfano wa juzi juzi tu hapo, kama vile MANCHESTER UNITED alikandwa SABA na LIVERPOOL, na mechi inayofata walijaza uwanjaJitahidini kuficha chuki hata kama mmechukizwa Wakuu. Arsenal walifungwa 8 lkn Mechi ioiyofuata walikwenda uwanjani.
Kula porojo hizo...sio kila mara ule facts...kula porojo mpenyezo...Mtoa mada katoa facts, wewe unakuja na porojo tupu!!.
Upupu.....unajua hufananii na huo ubonge wako...Naangalia mpira wewe unaangalia nini? Unasema unanyonyesha? π€ͺ Goli 5 zimejibu?
Umekuja rafiki yangu ππππ€ͺ na mijezi yenu umeiona? π€ͺUpupu.....unajua hufananii na huo ubonge wako...
Mm naziona nzuri tuu acheni kukuza mambo..uzi mwekundu mzuri sanaUmekuja rafiki yangu ππππ€ͺ na mijezi yenu umeiona? π€ͺ
Mkono wa Bwana unapapasa umeuona π€ͺMm naziona nzuri tuu acheni kukuza mambo..uzi mwekundu mzuri sana
Mapandikizi tena?Hao viongozi ndio wachawi wa simba hawafai..alafu mtu anaambiwa ajiuzulu bado ang'ang'ania hiyo timu yafamilia yake..?Hayo mapandizi yaliyohujumu pamoja na huyo msemaji wameshatimiza mpango wao..sasa wakuja kucheza na akili za mashabiki upumbavu tu..ngozi nyeusi usengx mtupu