Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Aahaaaaa,matokeo yanasema kafungwa Al Ahyl,hayo mengine hayatuhusuAl Ahly anawaza game dhidi ya Simba kapumzisha timu.
😆Aahaaaaa,matokeo yanasema kafungwa Al Ahyl,hayo mengine hayatuhusu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Aahaaaaa,matokeo yanasema kafungwa Al Ahyl,hayo mengine hayatuhusu
Matokeo ya hiyo mechi wengi hawakuyatarajia kabisa.Jana Al Ahyl kafa peupe,na aliyemfunga ndo yule aliyepelekewa moto akiwa kwao na pira Nabi,kama haitoshi akafa moja bila
Rekodi za Simba zipo salama as long as Yanga hajacheza gemu zake mbili dhidi ya El Merreikh
Endeleeni kuomba tusiingie makundi
Walijua tutakufa goli kumi,ahaaaaaMatokeo ya hiyo mechi wengi hawakuyatarajia kabisa.
Tunapambana nayo mkuu,ahaaaaPambaneni na hali yenu..
Watu mmeamka na majibu ya kumalizia weekend🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Aahaaaa,saa kumi siyo mbali mkuuWatu mmeamka na majibu ya kumalizia weekend
Kweli asee, na muda unavojua kukimbia!Aahaaaa,saa kumi siyo mbali mkuu
Japo sipendi Simba,ila kimpira zaidi na maendeleo ya mpira wetu kiujumla naombea wote tuingie makundiKweli asee, na muda unavojua kukimbia!
Wakikaza wote wawili Simba na Yanga wataleta heshima na thamani ya mpira wa Tanzania.Japo sipendi Simba,ila kimpira zaidi na maendeleo ya mpira wetu kiujumla naombea wote tuingie makundi
Home games za timu zote mbili zitatoa picha ya nani ni mkubwa kati yetu kimataifa
Kabisa,tena zile home games na vibe lake la Mashabiki itakuwa epic sanaWakikaza wote wawili Simba na Yanga wataleta heshima na thamani ya mpira wa Tanzania.
SanaaKabisa,tena zile home games na vibe lake la Mashabiki itakuwa epic sana
Ila wewe nawe unaonesha jinsi gani ulivyokuwa haufatilii mpira. Mechi ya Simba bado mwezi mzima mbele ndio apumzishe wachezaji leo kwasjili ya mechi ya mwezi ujao? Ulidanganywa kuwa Al Ahly hatocheza mchezo wowote ule iwe klabu bingwa au ligi kuu mpaka atakapocheza na Simba? Umewaza ovyo sana aiseeAl Ahly anawaza game dhidi ya Simba kapumzisha timu.
Hata mimi naomba wote tuingie makundiJapo sipendi Simba,ila kimpira zaidi na maendeleo ya mpira wetu kiujumla naombea wote tuingie makundi
Home games za timu zote mbili zitatoa picha ya nani ni mkubwa kati yetu kimataifa
Kabisa nami natamani zisonge zote. Pia itaongeza sana vibe kwa mashabiki.Wakikaza wote wawili Simba na Yanga wataleta heshima na thamani ya mpira wa Tanzania.