Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
ππππππ ππΌπΏππΌππΌππ ππΌππππ
Neno samahani ni dogo sana haswa kwa yule alieyefanya makosa,,Makolo msione aibu tokeni hadharani waombeni msahama tu Ngome kwasababu kudarisha logo haitoi uhalisia Kama mmekosea kutoa taarifa yenu kwa madunduka wenu.
Ombeni msamaha [emoji1666].
Cc: castor Yanga
NB: how data forging (cooking) in football can be a panacea to help kolo in super league//
Kwa mliokimbia umande
Je kujifungia vyumbani na kupika data za kuifunga timu kibonde badala ya kupiga zoezi,....inawezaje saidia makolo ku pass super league [emoji23][emoji23]?
Neno samahani ni dogo sana haswa kwa yule alieyefanya makosa,,Makolo msione aibu tokeni hadharani waombeni msahama tu Ngome kwasababu kudarisha logo haitoi uhalisia Kama mmekosea kutoa taarifa yenu kwa madunduka wenu.
Ombeni msamaha [emoji1666].
Cc: castor Yanga
NB: how data forging (cooking) in football can be a panacea to help kolo in super league//
Kwa mliokimbia umande
Je kujifungia vyumbani na kupika data za kuifunga timu kibonde badala ya kupiga zoezi,....inawezaje saidia makolo ku pass super league [emoji23][emoji23]?