Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili mnayo nyinyi mbumbumbuMuwe na akili basi....
Tafakari kabla ya kupost
Ww nadhani unaakili ya . 🐸 🐸 🐸 🐸Akili mnayo nyinyi mbumbumbu
Leo mpaka mseme ukweli mlicheza na under17 ganiWw nadhani unaakili ya . [emoji196] [emoji196] [emoji196] [emoji196]
Ww nadhani unaakili ya . [emoji196] [emoji196] [emoji196] [emoji196]
Mtu mzima ukivuliwa dela chutama.Muwe na akili basi....
Tafakari kabla ya kupost
Siamini kama ni kweli simba iwe na janja ya namna hii. Yaani iwe hata mchezo hawakucheza?Simba kuna janja janja na uswahili mwingi sana.
Kwahiyo ndio wakosee logo na jina kweli?Hv Inakuaje mpaka wanakosea logo.
Una maana ganiMpira ni mchezo unaochezwa hadharani
Kitengo cha habari mitandaoni kinadhalilisha timu ionekane kuna forgery. Hata mwaka Jana kama sijasahau wakiwa pre season waliweka nembo ya timu tofauti na waliyocheza nayo.Hii inshu naona kama hujaielewa ilivokaa... Simba wameweka Logo ya Ngome Fc ya huko Zanzibar wakati wao wamecheza na Ngome ya huko Dasalamu... Wazenji wamemaind...