Simba ipo kibiashara na upigaji, ndo maana viongozi hawataki kujiuzulu

Simba ipo kibiashara na upigaji, ndo maana viongozi hawataki kujiuzulu

Nilichogundua, viongozi wa Simba wanapenda kutukanwa na kuzomewa sana
 
Wajiuzulu..? Waende Wapi?

Michanganuo hiyo Unataka wakupe Wewe...?

Nenda Kwenye Mikutano mikuu ya Klabu,huwa wanatoa Michanganuo..!


Ila hapo Kwenye Mashabiki kujaza Uwanja,ni Kweli Mashabiki Wa Simba Hawana Jambo Dogo....CAF Hawakukosea kuwapa tuzo ya Mashabiki Bora Afrika...!

Wala Hawahitaji Kuingizwa Bure Uwanjani na Boss...! Eti GSM day..!

Huyu mzee Gharib anajuta kuwafahamu UTO mnamkausha Damu...!Amlipe Aziz...hlf haitoshi Ailipie na Mishabiki inayopenda kitonga...AIBU..

Nipo paleeee...
Bado una swali?
 
Back
Top Bottom