mwarabu feki
JF-Expert Member
- Feb 16, 2023
- 811
- 1,811
Mkuu mi ni mwana lunyasi, huyu kocha hatufai. Kwanza timu kubwa kama Simba unampaje kazi kocha kutoka vipers?Wewe utakua Yanga mwenzangu mkuu [emoji23][emoji23]..u r not serious kufukuza kocha mnaanza michuano mikubwa hiv
Pale alitembelea upepo wa mgunda. Sasa huu ndio uwezi wake na pira papatu papatu halitaisha Leo Wala kesho paka aondoshwe huyu mbwigawe kilaza wa wapi huyu katufikisha robo tukiwa na team mbovu.. nyie mashabiki maandazi mnaangalia mechi Moja tuu
Kweli mkuuHuu ndio ukweli makundi mtadurushwa mapema sana
Yupi mkuu? Gamondi au nabiiNashindwa kushangaa kocha wa yanga hawamuoni ,tumchukue fasta
Hata mumfukuze na kumleta Pep Guardiola! Bado safari yenu msimu huu itaishia hatua ya makundi. Na huu ndiyo ukweli mchungu. Hakuna timu ya kuvuka hatua ya makundi pale na kwenda robo fainali.Moja kati ya sifa kuu ya kocha mzuri basi Lazima ajue kupanga kikosi kinachoanza mechi.
Sasa huyu mbwiga hajui hata selection ya fist eleven yake.
Kocha Hana mbinu, hawezi kusoma mchezo kadri unavyoendelea, hawezi hata kufanya sub zinazoweza kuamua mechi[emoji848][emoji848]
Kitu pekee anachoweza ni kushangilia magoli ya kubahatisha na kufurahia pira papatu papatu tunalocheza.
Wanasimba wenzangu tuushinikize uongozi umtumie huyu Mzee kabla maji hayajafika shingoni.
[emoji75] Nguvu moja[emoji123]
[emoji706]Ukiulizia amekosea wapi hamsemi.
Ila wabongo tuna UPUMBAVU mwingi sana....!!!!!!!!!
Tuko pamoja mkuu[emoji1666]Yap yule Babu aondoke Hana mission Wala vision ya timu ya simba