Simba isipomwekea mikakati Eng.Hersi, mtasababisha mgogoro mkubwa klabuni

Simba isipomwekea mikakati Eng.Hersi, mtasababisha mgogoro mkubwa klabuni

Mbona Bayern Munich ni Bingwa kila siku.

Kwamba Bundesliga ni ligi nyepesi sana kuliko Ligi ya Tanzani..?
Bingwa kila siku vip? ina maaana toka bundesliga imeanza bingwa ni Bayern Munich tu?
 
baada ya miaka minne kwenye ndoa hatimae mke kashika ujauzito mate mji mzima[emoji23][emoji23][emoji23]
Misemo mingine ni ya kufarijiana kwa wasiyo nacho kama Makolo mnavyo farijiana
 
Wewe sio shabiki wa simba nahisi, hayo ya kulalamika waachie wale utopwinyo.......hakuna team inayokuwa kwenye good form karne nzima otherwise uwe umeanza shabikia mpira Azam walipochukua kombe.
Punguza hasira wewe Makolo na mjifunze sana kutoka kwa timu iliyombele yenu ki soka.
 
Back
Top Bottom