Simba isiposhuka daraja mimi si raia

Crocozilla

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
469
Reaction score
335
Najua mtakuja na mapovu midomoni enyi wana simba wenzangu lakini hesabu kamwe haiongopei.
Kamahesabu simba imeshashuka daraja na mwakani itakuwa ligi daraja la kwanza. Hii ni fomula tu.
Mwenye mawazo tofauti weka hapa!!!!
 
Kuna kitu nilitaka niseme roho yangu ikanizuia, nawaachia wana simba wenyewe
 
unazungumzia simba ya gorran au simba gan?unafuatilia ligi vizuri?ulishawah kusikia simba au yanga imeshuka daraja?TFF wenyewe wanajua kuwa moja ya timu hizo ikishuka daraja mvuto wa ligi utapungua,pia mashabiki watapungua uwanjani na hivyo kuifanya TFF kupungua kwa mapato yake
 
Ningefurahi sana simba na yanga zishuke daraja. Moja ya sababu za kudorora kwa soka letu ni hizo timu mbili. Maneno mengi lakini hamna kitu..!
 
Simba mdebwedo, fukuzeni pia huyo kocha, Bora aliyepita alikuwa anatoa droo
 
Najua mtakuja na mapovu midomoni enyi wana simba wenzangu lakini hesabu kamwe haiongopei.
Kamahesabu simba imeshashuka daraja na mwakani itakuwa ligi daraja la kwanza. Hii ni fomula tu.
Mwenye mawazo tofauti weka hapa!!!!

Ndiyo unaamka toka usingizini kijana? Hesabu gani ulizopiga na mbona hujaziainisha hapa tuzione?
 
Najua mtakuja na mapovu midomoni enyi wana simba wenzangu lakini hesabu kamwe haiongopei.
Kamahesabu simba imeshashuka daraja na mwakani itakuwa ligi daraja la kwanza. Hii ni fomula tu.
Mwenye mawazo tofauti weka hapa!!!!

Sasa hivi inabebwa na marefa tu,.we penalt gani ile ya mchezo na mbeya?
 
kwa huu mziki uliopo daraja la kwanza. simba na yanga zikishuka kupanda ni miujiza..
 
Najua mtakuja na mapovu midomoni enyi wana simba wenzangu lakini hesabu kamwe haiongopei.
Kamahesabu simba imeshashuka daraja na mwakani itakuwa ligi daraja la kwanza. Hii ni fomula tu.
Mwenye mawazo tofauti weka hapa!!!!

Hongera mkuu kwa kutoa ulilonalo moyoni
 
sio simba ambayo mimi naishabikia huu n upepo tu unapita wana msimbazi tutakuwa vizuri kufikia pasaka
 
hiyo haitatokea simba wala yanga kuzishusha daraja hata kama zinastahili watazibeba tu, wao TFF watakula wapi? simba na yanga ndio mrija wao.
 
Najua mtakuja na mapovu midomoni enyi wana simba wenzangu lakini hesabu kamwe haiongopei.
Kamahesabu simba imeshashuka daraja na mwakani itakuwa ligi daraja la kwanza. Hii ni fomula tu.
Mwenye mawazo tofauti weka hapa!!!!
kauli za punguani
 
Ndiyo unaamka toka usingizini kijana? Hesabu gani ulizopiga na mbona hujaziainisha hapa tuzione?

Hesabu hii hapa. Acha kutokwa na mapovu.
Kama mechi tatu zilizopita matokeo yalikuwa hivi;
Shida
Droo
Shindwa

Then mech tatu zijazo;
Droo
Shindwa
Shindwa

Na mechi tatu tena zijazo;

Shindwa
Shindwa
Shindwa

Logic tu baba

Sasa jumlisha wewe mwenyewe point.

Je itakuwa ya ngapi katika msimamo?

Tena assumption ni kuwa zipo mechi sita mkononi.

Asante kunielewa
 
Grafani 11
Angalia hesa yangu ilivyo kali. Uwanjwa wa taifa matokeo 2-2
Hii ndo droo ya ilobakia baada ya hapo utani pm maana shindwa shindwa tu
Figures can never lie!!!
 
pumbavu simba itakayoshuka ya huko kwenu kwa machokoraa siyo wekundu wa msimbazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…