Crocozilla
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 469
- 335
Najua mtakuja na mapovu midomoni enyi wana simba wenzangu lakini hesabu kamwe haiongopei.
Kamahesabu simba imeshashuka daraja na mwakani itakuwa ligi daraja la kwanza. Hii ni fomula tu.
Mwenye mawazo tofauti weka hapa!!!!
Kamahesabu simba imeshashuka daraja na mwakani itakuwa ligi daraja la kwanza. Hii ni fomula tu.
Mwenye mawazo tofauti weka hapa!!!!