Simba itadhalilishwa hadi lini?

π™²πšŠπš•πš’πš—πš‘πš˜ πš”πšŠπšπš’πš”πšŠ πšžπš‹πš˜πš›πšŠ πš πšŠπš”πšŽ
 
kama kuna utapeli mmetapeliwa nyinyi na GSM....nyinyi mbona GSM kachukua timu,imeshakuwa mali yake na mmeshindwa kumuuliza haya maswali??
 
Yani Mtu yupo Kibada analima viazi Vitamu halafu eti anataka kumg'oa Dewj Simba πŸ˜‚πŸ˜‚

Yani WaTZ kwa ujuaji!!! Sasa si kazinunue wewe tu hizo hisa 49% ili ulipe hizo 20B.

Yani mutalialia sana tu kuhusu Simba lakini Dewj haondoki pale Simba mpaka tuchukue makombe kwa Mara 10 mfululizo.
 
Sidhani ka Lego la timu ilikua kuona mashabiki au kuona kikosi kinaimarika vipi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…