Simba itashika nafasi ya pili, na Azizi Ki atakuwa mfungaji bora

Simba itashika nafasi ya pili, na Azizi Ki atakuwa mfungaji bora

Mwishokambi

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2020
Posts
390
Reaction score
1,425
Geita hawajawahi kufungwa na Azam pale kwao, leo wakifungwa wanashuka daraja, leo wakisare wanashuka daraja, wana mambo mawili, wakubali kuisaidia Simba ifuzu nafasi ya 2 na kujinusuru wasishuke daraja au kushuka daraja na kuipa Azam nafasi ya 2.

Wakubali kushirikiana na mnyama ili wasishuke daraja leo, mchezo ni mgumu sana leo, Feitoto hatofunga goli leo ila kule Chamazi Aziz Ki atafunga tu.

Mnyama anashika nafasi ya 2 Leo, jioooooooooooooooni
 
Vyura walizania fei atapotea 🤣 saivi wanaumia wakimuona anafanya vizuri
Hawa
20240527_023956.jpg
 
Geita hawajawahi kufungwa na Azam pale kwao, leo wakifungwa wanashuka daraja, leo wakisare wanashuka daraja, wana mambo mawili, wakubali kuisaidia Simba ifuzu nafasi ya 2 na kujinusuru wasishuke daraja au kushuka daraja na kuipa Azam nafasi ya 2.

Wakubali kushirikiana na mnyama ili wasishuke daraja leo, mchezo ni mgumu sana leo, Feitoto hatofunga goli leo ila kule Chamazi Aziz Ki atafunga tu.

Mnyama anashika nafasi ya 2 Leo, jioooooooooooooooni
Haya sasa.....
 
Back
Top Bottom