PSEUDOPODIA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2020
- 392
- 798
Hifadhi huu uzi utakuja kuniambia. Ipo hivi:-
-Simba siku ya jumamosi tarehe 18/03/2023 atacheza na Horoya, Simba atashinda 3-1 na kutinga moja kwa moja robo fainal huku akiwa amebaki na mechi moja dhidi ya Raja Casablanca.
- Upande wa pili, Yanga siku ya Jumapili atajitupa dimbani dhidi ya Monestri ambapo mechi itaisha kwa draw ya 1-1. Yanga atakuwa amefikisha alama 8, Wakati huohuo TP Mazembe atashuka kukipiga na real bamako ambapo Tp Mazembe atashinda na kufikisha point 6.
- Mechi ya mwisho itapigwa pale Congo ambapo Yanga atakipiga na TP Mazembe ambapo yanga atapoteza kwa goli moja bila, hivyo TP Mazembe atakuwa amefikisha point 9 na kwaacha Yanga wakiwa nafasi ya tatu na point zao 8, hivyo Mazembe anatinga robo fainal kibabe kama hivyo.
Baada ya hapo:- haya yatakuwa baadhi ya maneno ya Mashabiki wa Yanga:-
1. Nabi hana mbinu za kucheza kimataifa
2.Aziz K ni mzigo
3. Gsm wanainyonya Yanga
4. Feisal angekwepo tusingetoka
5. Mabeki wetu ni wafupi.
6......
Na mengine mengi
Ushauri:
Mtakapo fikia hatua hii ndugu zangu wa Yanga mtulie, Roma haikujengwa kwa siku moja. Mpaka hapo mlipofika ni hatua kubwa sana. Nabi ni mwalimu mzuri sana, msimwache.. mpeni msimu mwingine tena kimataifa alafu mu mletee wachezaji wazuri alafu msubiri muone.
-Simba siku ya jumamosi tarehe 18/03/2023 atacheza na Horoya, Simba atashinda 3-1 na kutinga moja kwa moja robo fainal huku akiwa amebaki na mechi moja dhidi ya Raja Casablanca.
- Upande wa pili, Yanga siku ya Jumapili atajitupa dimbani dhidi ya Monestri ambapo mechi itaisha kwa draw ya 1-1. Yanga atakuwa amefikisha alama 8, Wakati huohuo TP Mazembe atashuka kukipiga na real bamako ambapo Tp Mazembe atashinda na kufikisha point 6.
- Mechi ya mwisho itapigwa pale Congo ambapo Yanga atakipiga na TP Mazembe ambapo yanga atapoteza kwa goli moja bila, hivyo TP Mazembe atakuwa amefikisha point 9 na kwaacha Yanga wakiwa nafasi ya tatu na point zao 8, hivyo Mazembe anatinga robo fainal kibabe kama hivyo.
Baada ya hapo:- haya yatakuwa baadhi ya maneno ya Mashabiki wa Yanga:-
1. Nabi hana mbinu za kucheza kimataifa
2.Aziz K ni mzigo
3. Gsm wanainyonya Yanga
4. Feisal angekwepo tusingetoka
5. Mabeki wetu ni wafupi.
6......
Na mengine mengi
Ushauri:
Mtakapo fikia hatua hii ndugu zangu wa Yanga mtulie, Roma haikujengwa kwa siku moja. Mpaka hapo mlipofika ni hatua kubwa sana. Nabi ni mwalimu mzuri sana, msimwache.. mpeni msimu mwingine tena kimataifa alafu mu mletee wachezaji wazuri alafu msubiri muone.