Simba Iwaachie Makipa huru!

Jumong S

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2013
Posts
7,385
Reaction score
10,659
Nakumbuka Simba walisajili Makipa wengi. Kule walinotoka walikua na vipaji imara na walicheza kwa ustadi Mf Jeremiah Kisubi. Sasa kuendelea kukaa bench ni kuua carrier Yao. Wawaache baadhi wakasake timu zitakazowatumia.

Pia Kuna players wapo talented ila waalimu Hawana plan ya kuwatumia. Wawape uhuru tu!
 
Kwa sasa Kakolanya anajifunza kozi ya upishi, kakalia bench mpaka kasahau yeye ni golikipa.
 
Wachezaji wengi kuliko mahitaji
Kiwango chako ndo kitakuokoa
 
Utopolo bila kuitaja simba kila baada ya sekunde 1 utakufa. Simba ni Oksijen .
 
Wachezaji kama Dickson Ambundo ambaye amekua mshangiliaji wa mechi pale Yanga angekuwa yuko Simba ndio wamempiga kushoto hivyo. Daaaaah Media zingepasua spika kwa makelele ya kumtaka Ambundo aondoke. Akina Ndemla, Ame, Kaheza, Singano, Mlipili nk pia walikuwa wakipigiwa makelele oooooh waondoke wakacheze kwingine kukuza vipaji. Mwisho wa siku hollaaaa. Kwahiyo tuache ushabiki maandazi tuwaaache vijana wacheze mpira wanajua kile wanafanya.
 
Ndivyo walivyo mkuu na wachambuzi wao wa mchongo. Wala usisikitike
 
Hivi ambundo kwani alishapona
 
Kwani wamekatazwa kuhama Simba we mzee wa kikosi cha Kauka nikuvae?
 
Kwani Utopolo wana makipa wangapi.
Mbona nao wako benchi.
Kila timu ina Kipa namba moja na wasaidizi wake.
Akiumia Manula atacheza nani sasa.
Hutopolo hawa mamjamaa hata hawaelewi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…