Simba iwaombe Azam akina Dube, Kipre Junior, Sopu, Akaminko, Bajana kwenye hatua ya Robo Fainal Michuano ya CAF

Hakuna forward wa Simba anayefikia angalau nusu ya uwezo wa Dube
Phiri ana goli 10, bocco anazo 9..dube ana goli 7..umetumia kigezo gani??au ndo kauli ya manara inafanya kazi kwa vitendo?huyo baleke kaja juzi tu ana goli 5 ushajiuliza angekuepo mwanzo wa msimu angekuwa na goli ngapi?
 
Baleke angekuwa mchezaji wa maana asingeachwa na Mazembe iliyojichokea
 
Simba hawana mshambuliaji mwenye kariba ya Dube, Ata Dube angekua na goli mmoja Kwa msimu huu Dube ni kitu kingine kabisa.
Yupo mobile muda wote na ana piga miguu yote na ana uwezo wa kucheza namba zote Tisa, Kumi na uwezo wa kushambulia kutokea pembeni.
Sasa mshambuliaji gani pale Simba mwenye uwezo uo?
 
Wakumbushe kuacha kuzunguka nyuma ya nyumba waende direct Kwa uongozi wa yanga wakamnunue Feitoto
 
Tatizo la afya ya akili ni kubwa kweli kweli !Ndugu ukiwa unapata chakula Bora (balance diet ),utajiuliza huyo akaminko ,dube na wengineo wameshindwa kuifanya team Yao icheze mashindano ya pili Kwa ubora wa vilabu afrika ,wakakusanywe wacheze robo fainali ya mashindano makubwa kabisa ya vilabu afrika da.Wapumbavu wanaongezeka Kwa Kasi.Tafuta Hela utakula mlo kamili utafikiri vizuri.
 
Unaonekana ni mtu mzima ila ulichoandika sasa,....wachezaji wa azam ni wa mechi ndogo brother hii michuano ya caf ni ya wanaume sio watoto
 
Mpira ni mchezo wa wazi, Msimu huu Azam ame mkanda Simba mara Moja na Sare Moja InaMaanisha Azam ni Bora kuliko Simba. Na Ili ku dhirisha ilo ningependa Azam na Simba Wakutane kwenye FA labda akili za mbumbumbu fc wasio jitambua wataelewa kwanini Azam ni Bora kuliko Simba.
Kitu pekee Simba anacho Simba anamzidi Azam ni chupri nje ya uwanja.
Mimi naamini Azam muda wowote katika msimu huu Akicheza na Simba atapata matokeo.
Azam inawachezaji wengi wazuri kuliko wa mbumbumbu fc uo ni ukweli usio na shaka yoyote.
 
Azam walishashiriki hayo mashindano itakuwa ngumu naamini bado viongozi wakiwa makini wanaweza kupata wachezaji bora
 
Aliyeshindwa kuivusha azam yake ktk kuingia makundi kombe LA losers?? Mmevurugwa vibayaa nyiee.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wao azam wana nini pamoja na kuwa na wachezaji hao, WAKATI AKILI ZINAGAWIWA MLIKUWA WAPI.
 
Kwa kuwa huheshimu takwimu pale simba mshambuliaji huyo ni Barbara gonzalez na kauzwa caf huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…