Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Hao ni wachezaji wa akiba wa Yanga.Unadhani kuwasajili hao ni kama kwenda kununua mtumba kariakoo?
KWA hio robo fainali zote tulizofika Mzamiru hukuona KAZI yake ? KWA TAARIFA yako Mzamiru yuko vizuri kuliko hao wa Brazil wakoWale Wabrazil watatu wa Singida ni moto sana, nawaomba viongozi wa Simba waongee na Singida ili wale Wabrazil wakipige Msimbazi.
Aisee Simba ikiwapata wale wanaume itakuwa balaa, Makundi na akina Mzamiru siyo kweli, tutatia aibu mbele ya safari.
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Muulize sasa yeye anaweza nini? Mashabiki wengi wa kitanzania ni mbumbumbu mkuu.Hivi kwanini hamuwezi pendekeza usajili ufanyike bila kubeza waliopo..!
Kwahivyo haiwezekani kufika makundi na Mzamiru hiyo robo fainali zilizopita zilifikwa na Mbappe?
Wanacheza nafasi zip na Simba wana mapungufu maeneo yap? ndio mana kwenye timu zetu tunaharibu usajili maana hatuangalii mahitaji tunaangalia umachachari wa mchezajiWale Wabrazil watatu wa Singida ni moto sana, nawaomba viongozi wa Simba waongee na Singida ili wale Wabrazil wakipige Msimbazi.
Aisee Simba ikiwapata wale wanaume itakuwa balaa, Makundi na akina Mzamiru siyo kweli, tutatia aibu mbele ya safari.
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Mwigulu hawezi kuwaachia haoWale Wabrazil watatu wa Singida ni moto sana, nawaomba viongozi wa Simba waongee na Singida ili wale Wabrazil wakipige Msimbazi.
Aisee Simba ikiwapata wale wanaume itakuwa balaa, Makundi na akina Mzamiru siyo kweli, tutatia aibu mbele ya safari.
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Acha upumbavu,Mzamiru usimchukulie poa na dharau za kishamba.Wale Wabrazil watatu wa Singida ni moto sana, nawaomba viongozi wa Simba waongee na Singida ili wale Wabrazil wakipige Msimbazi.
Aisee Simba ikiwapata wale wanaume itakuwa balaa, Makundi na akina Mzamiru siyo kweli, tutatia aibu mbele ya safari.
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Hivi ni kweli wanalipwa na Mwigulu?Mwigulu hawezi kuwaachia hao