Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Wale Wabrazil watatu wa Singida ni moto sana, nawaomba viongozi wa Simba waongee na Singida ili wale Wabrazil wakipige Msimbazi.
Aisee Simba ikiwapata wale wanaume itakuwa balaa, Makundi na akina Mzamiru siyo kweli, tutatia aibu mbele ya safari.
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Aisee Simba ikiwapata wale wanaume itakuwa balaa, Makundi na akina Mzamiru siyo kweli, tutatia aibu mbele ya safari.
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app