Simba jiandaeni kisakolojia

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Mpira unadunda unaweza kudundia popote kuelekea kokote. Simba mwaka huu iko vizuri kila idara na kuwaaminisha wanachama na mashabiki wao kuwa safari hii ni zamu yao kiasi kwamba hakuna tena anayefikiria kuukosa ubingwa.
Itakuaje kama Na mwaka huu mambo yakaenda ndivyo sivyo tena? Wako watu wanaoweza kupoteza maisha. Inambidi Dr. Mauki aanze sasa kuwanasihi wapenzi wa Simba ili kuweza kupokea matokeo ya aina zote.
 
Ni kweli, kwa hali ya mwenendo wa EPL ilipofikia hivi sasa, yoyote anaweza kuuchukua huo ubingwa
 

Na huu ndio msimamo. Wametuzidi magoli kumi. Sisi tutakachofanya ni kutimiza wajibu wetu. Kila mechi ni kushinda tu. Halafu tukija kucheza na nyie tunajua Okwi au Kichuya hawawezi kutukosa hawa ila mnamjua vizuri Mkulima aliyekula mbegu Chirwaaaaaaa!! Na kijana wenu Ajib Migomba. Nyie lazima tuwatie presha kama mtachukua basi ni kwa mbinde sana tofauti na sisi tulivyokuwa tunatangaza ubingwa mechi tatu au nne kabla kumaliza.

DAIMA MBELE NYUMA MWIKO
 
Unaongelea lini maana mwaka jana mmechukua ubingwa kwa, mabao mengi, mbona unasahau mapema hivi.
 
Huuu mwaka niwasimba
Ya, Simba mwaka huu inaonekana hivyo, na hiyo ndiyo hatari kwa mashabiki kama itatokea ndivyosivyo ubingwa wakiukosa tens msimu. Hapo ndipo tunaposema Dr. Mauki aanze sasa kuwaandaa mashabiki kwa kuanza na Manara
 
Unaongelea lini maana mwaka jana mmechukua ubingwa kwa, mabao mengi, mbona unasahau mapema hivi.
Ukiacha mwaka jana nitajie msimu mwingine tuliochukua ubingwa kwa tofauti ya magoli katika miaka kumi hii
 
Simba hawako bora sana...Yanga ndio bora wachezaji reserve wanawapa matokeo
Ngoma,Tambwe,KamusoKo na Simba wakosekane..Boko,Kichuya,Okwi miezi 4 mkia angekuwa wa nane
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…