THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 2,224
- 4,472
Wydad 1-2 SimbaMashabiki wa simba wanasema mpira unamaajabu sikatai ni ukweli na maajabu ndio kitu yanafanya mpira upendwe.
Ila sio kama mashabiki wa simba munavyoamini kua maajabu yapo mda wowote hapana.Maajabu kutokea hua ni nadra sana na ndio maana yakaitwa maajabu.
Sa nahisi wengi mnafatilia hii match ya aseno na City saiv na mmeona nguvu ya uwanja wa nyumbani sa Simba jiandaeni.
Nimeshauri kulingana na itense ilivyokua aseno game ya jana ilikua mhimu kama ilivyo kwa simbaUngewashauri vinara wa ligi Nbc unge-reflect na hao Gunners vinara wa Epl yanayowakuta sasa
Na wewe unaweza kushauri Kwa chochote because ni ushauri tu sio shartiWashauri wa SIMBA sasa ni kila kona
Na Lazima lipulizweParapanda italia parapanda, parapanda italia parapanda....
We JEHUWehu
Kama Kristo😂Tumeshakubali yaishe