Simba jiandaeni, mnaona Arsenal yanayomkuta?

THE FIRST BORN

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2019
Posts
2,224
Reaction score
4,472
Mashabiki wa simba wanasema mpira unamaajabu sikatai ni ukweli na maajabu ndio kitu yanafanya mpira upendwe.

Ila sio kama mashabiki wa simba munavyoamini kua maajabu yapo mda wowote hapana.Maajabu kutokea hua ni nadra sana na ndio maana yakaitwa maajabu.

Sa nahisi wengi mnafatilia hii match ya aseno na City saiv na mmeona nguvu ya uwanja wa nyumbani sa Simba jiandaeni.
 
Wydad 1-2 Simba

Wydad ni Wydad na Simba ni Simba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…