Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Njia pekee ya kuiondoa Simba kwenye mstari, Simba hii ambayo nna uhakika tukiwa wamoja hakuna, nasema hakuna, narudia hakuna wa kutoa sare nayo ni kuwagombanisha wenyewe kwa wenyewe ilk wenye timu mbovu wabebe ubingwa.
Kuna mchezo mchafu umeanza kuelekea kwenye mechi yetu dhidi ya Singida, mipango imesukwa ya kutosha, utopolo wamo, Singida wamo na wanazi wachache marafiki zake Nondo ili Singida watufanye kitu kibaya na hatimaye vurugu zianze ndani ya timu yetu.
Simba msipuuze taarifa zetu, sisi wengine tunapenda furaha t ili tuwatukane wenzetu mitaani, kwenye mchezo wetu wa kombe la azam kule mtwara mliwapa vijana kazi lakini hawakuiweza, walamba ice cream walitumia waganga wa utopolo wakatumaliza, mchezo mzima niliushuhudia pale mtwara lkn kila tukiwaambia mkatupuuza, ile gemu tulitaka wenyewe maana walamba ice cream waliweka kambi pale nangwanda sijaona wiki 2 nzima.
Sasa nawajulisha mkwakwani inaweza isiwe salama kwetu, kuna njama za kuhakikisha tunafungwa ili ionekane usajili wetu ni wa mchongo, chondo chonde nawaomba viongozi walindeni wachezaji wetu na mambo ya kishirikina.Mtakuja kunishukuru.
Kuna mchezo mchafu umeanza kuelekea kwenye mechi yetu dhidi ya Singida, mipango imesukwa ya kutosha, utopolo wamo, Singida wamo na wanazi wachache marafiki zake Nondo ili Singida watufanye kitu kibaya na hatimaye vurugu zianze ndani ya timu yetu.
Simba msipuuze taarifa zetu, sisi wengine tunapenda furaha t ili tuwatukane wenzetu mitaani, kwenye mchezo wetu wa kombe la azam kule mtwara mliwapa vijana kazi lakini hawakuiweza, walamba ice cream walitumia waganga wa utopolo wakatumaliza, mchezo mzima niliushuhudia pale mtwara lkn kila tukiwaambia mkatupuuza, ile gemu tulitaka wenyewe maana walamba ice cream waliweka kambi pale nangwanda sijaona wiki 2 nzima.
Sasa nawajulisha mkwakwani inaweza isiwe salama kwetu, kuna njama za kuhakikisha tunafungwa ili ionekane usajili wetu ni wa mchongo, chondo chonde nawaomba viongozi walindeni wachezaji wetu na mambo ya kishirikina.Mtakuja kunishukuru.