Hakuna awali mbovu.. Something is better than nothing..[emoji173][emoji173][emoji173][emoji419][emoji375]Aggregate 2-2
I see a narrow opening for next stages
Uchuro wao huo umewarudia na utawarudiaWaambie hao
Walikuwa wansema tutapigwa nyingi
Kiko wapi sasa
Mimi ni SIMBA damu sina hata masufuria ndugu yanguKumbe na wewe una majungu?
Je tutatoboa huko ughaibuni?Maadui wa mnyama SIMBA hasa baadhi ya wanayanga wasiojitambua waliomba dua zote SIMBA ifungwe
Wakafanya kila aina ya fitina mpaka majungu na masufuria bila kusahau ulozi...
Moira una matokeo matatu
Kufunga
Kufungwa
Suluhu
Asanteni sana wachezaji wote
Asanteni sana makocha wote
Asanteni sana viongozi wote
Asanteni sana wanasimba wote
Asanteni wote wenye mapenzi mema na SIMBA, marafiki na jamaa pia
Asanteni maadui.. Sijui m hali gani saa huko mliko.. Naona mmeamua kujifariji na chumbuzi za kindezi.. Nawasihi msiache .. Sisi letu limeshatimia
Gooooood night Tanganyika[emoji173][emoji173][emoji173][emoji419][emoji375]View attachment 2787555
Sent using Jamii Forums mobile app
Dua la kuku [emoji23].. Chui kwenye ngozi ya kondoo [emoji23]Kwel Simba Tumejitahid Leo ila Naona kabsa Hili Kombe Pia Tunaishia "Kwata faino kama Kawaida" [emoji125][emoji125]
Asanteni maadui.. Sijui m hali gani saa huko mliko..
Niliwaombea mpate 2:1 hilo la 2 kwa Al mmejitakia...hongereni wataniMaadui wa mnyama SIMBA hasa baadhi ya wanayanga wasiojitambua waliomba dua zote SIMBA ifungwe
Wakafanya kila aina ya fitina mpaka majungu na masufuria bila kusahau ulozi...
Moira una matokeo matatu
Kufunga
Kufungwa
Suluhu
Asanteni sana wachezaji wote
Asanteni sana makocha wote
Asanteni sana viongozi wote
Asanteni sana wanasimba wote
Asanteni wote wenye mapenzi mema na SIMBA, marafiki na jamaa pia
Asanteni maadui.. Sijui m hali gani saa huko mliko.. Naona mmeamua kujifariji na chumbuzi za kindezi.. Nawasihi msiache .. Sisi letu limeshatimia
Gooooood night Tanganyika[emoji173][emoji173][emoji173][emoji419][emoji375]View attachment 2787555
Sent using Jamii Forums mobile app
Kongole zao, vijana wameonyesha jitihada ya halo ya juu sanaMaadui wa mnyama SIMBA hasa baadhi ya wanayanga wasiojitambua waliomba dua zote SIMBA ifungwe
Wakafanya kila aina ya fitina mpaka majungu na masufuria bila kusahau ulozi...
Moira una matokeo matatu
Kufunga
Kufungwa
Suluhu
Asanteni sana wachezaji wote
Asanteni sana makocha wote
Asanteni sana viongozi wote
Asanteni sana wanasimba wote
Asanteni wote wenye mapenzi mema na SIMBA, marafiki na jamaa pia
Asanteni maadui.. Sijui m hali gani saa huko mliko.. Naona mmeamua kujifariji na chumbuzi za kindezi.. Nawasihi msiache .. Sisi letu limeshatimia
Gooooood night Tanganyika[emoji173][emoji173][emoji173][emoji419][emoji375]View attachment 2787555
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo mikeka imechanika mbayaKufa kiume ndo hua ushindi wenu, acheni kuja kujifariji hapa, mjiandae kula Hamza cairo.