Simba kaiheshimisha Tanganyika mbele ya dunia: Wachambuzi uchwara karibuni mtoe nyongo zenu

Simba kaiheshimisha Tanganyika mbele ya dunia: Wachambuzi uchwara karibuni mtoe nyongo zenu

Ila kiukweli lile bao la pili kwa Al-Ahly ametuponza Baleke kwa zile movement za ukorofi.
 
Mi sio Shabiki Anayetumia mahaba Kujudge Mechi mi naangalia Vitu vingi sana kimojawapo ni Aina ya wachezaji na Playing style,

Kiufupi Tu Simba wamejitahidi sana leo ila hilo Haliondoi ukweli kwamba Al ahly wanajulikana vizuri wakiwa uwanja wa Nyumbani jinsi wanavyokuaga,

Msema kweli mpenzi wa Mungu Simba wanaishia Kwata Faino
Kule masri simba atapigwa mkono. Na ndiyo utakuwa mwisho wa "congratulations to my players" congratulations to everiwani, my pleyas, thei pleid veri weli , but this is football, you know. I say congratulations again. Thank you!
 
Tulisha waonya Ahly sio daraja lenu mkawa mnaongea vitu visivyo na mashiko, leo mnapongezana kwa kupata sare.
Yaani leo ndio akili zimerudi[emoji38][emoji38][emoji38]

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Maadui wa mnyama SIMBA hasa baadhi ya wanayanga wasiojitambua waliomba dua zote SIMBA ifungwe
Wakafanya kila aina ya fitina mpaka majungu na masufuria bila kusahau ulozi.

Mpira una matokeo matatu
  • Kufunga
  • Kufungwa
  • Suluhu

  • Asanteni sana wachezaji wote
  • Asanteni sana makocha wote
  • Asanteni sana viongozi wote
  • Asanteni sana wanasimba wote
  • Asanteni wote wenye mapenzi mema na SIMBA, marafiki na jamaa pia

Asanteni maadui.. Sijui m hali gani saa huko mliko.. Naona mmeamua kujifariji na chambuzi za kindezi.. Nawasihi msiache .. Sisi letu limeshatimia

Gooooood night Tanganyika[emoji173][emoji173][emoji173][emoji419][emoji375]

View attachment 2787555
mkuu hata we huwa unaiombea mabaya timu ile pinzani wako. so, usiwalaumu. hivi mechi ya marudio mnacheza lini?
 
Maadui wa mnyama SIMBA hasa baadhi ya wanayanga wasiojitambua waliomba dua zote SIMBA ifungwe
Wakafanya kila aina ya fitina mpaka majungu na masufuria bila kusahau ulozi.

Mpira una matokeo matatu
  • Kufunga
  • Kufungwa
  • Suluhu

  • Asanteni sana wachezaji wote
  • Asanteni sana makocha wote
  • Asanteni sana viongozi wote
  • Asanteni sana wanasimba wote
  • Asanteni wote wenye mapenzi mema na SIMBA, marafiki na jamaa pia

Asanteni maadui.. Sijui m hali gani saa huko mliko.. Naona mmeamua kujifariji na chambuzi za kindezi.. Nawasihi msiache .. Sisi letu limeshatimia

Gooooood night Tanganyika[emoji173][emoji173][emoji173][emoji419][emoji375]

View attachment 2787555
Mo aka Mwamedi janja janja chupri chupri katoa billion.
 
Mi sio Shabiki Anayetumia mahaba Kujudge Mechi mi naangalia Vitu vingi sana kimojawapo ni Aina ya wachezaji na Playing style,

Kiufupi Tu Simba wamejitahidi sana leo ila hilo Haliondoi ukweli kwamba Al ahly wanajulikana vizuri wakiwa uwanja wa Nyumbani jinsi wanavyokuaga,

Msema kweli mpenzi wa Mungu Simba wanaishia Kwata Faino
Msiwe mnabadilika
 
Nafikiri Bakita waje na maana nyingine ya neno "kuheshimisha" . Vinginevyo wajinga wanaendelea kuharbu lugha yetu adhimu!.
 
Back
Top Bottom