Kule masri simba atapigwa mkono. Na ndiyo utakuwa mwisho wa "congratulations to my players" congratulations to everiwani, my pleyas, thei pleid veri weli , but this is football, you know. I say congratulations again. Thank you!Mi sio Shabiki Anayetumia mahaba Kujudge Mechi mi naangalia Vitu vingi sana kimojawapo ni Aina ya wachezaji na Playing style,
Kiufupi Tu Simba wamejitahidi sana leo ila hilo Haliondoi ukweli kwamba Al ahly wanajulikana vizuri wakiwa uwanja wa Nyumbani jinsi wanavyokuaga,
Msema kweli mpenzi wa Mungu Simba wanaishia Kwata Faino
Slangs? Acha utani.Much congratulations on Simba Sports Club.
The giant of Tanzanie football.
Simba tunamwaga slangs halisi ya Mama Eliza.
mkuu hata we huwa unaiombea mabaya timu ile pinzani wako. so, usiwalaumu. hivi mechi ya marudio mnacheza lini?Maadui wa mnyama SIMBA hasa baadhi ya wanayanga wasiojitambua waliomba dua zote SIMBA ifungwe
Wakafanya kila aina ya fitina mpaka majungu na masufuria bila kusahau ulozi.
Mpira una matokeo matatu
- Kufunga
- Kufungwa
- Suluhu
- Asanteni sana wachezaji wote
- Asanteni sana makocha wote
- Asanteni sana viongozi wote
- Asanteni sana wanasimba wote
- Asanteni wote wenye mapenzi mema na SIMBA, marafiki na jamaa pia
Asanteni maadui.. Sijui m hali gani saa huko mliko.. Naona mmeamua kujifariji na chambuzi za kindezi.. Nawasihi msiache .. Sisi letu limeshatimia
Gooooood night Tanganyika[emoji173][emoji173][emoji173][emoji419][emoji375]
View attachment 2787555
Haiwahusu jiulizeni nyie mtacheza nao linimkuu hata we huwa unaiombea mabaya timu ile pinzani wako. so, usiwalaumu. hivi mechi ya marudio mnacheza lini?
Tukiwa ndani tutagombana sana! Tena sana.. Akija jirani sisi ni wamoja.. Hii ndio slogan yangumkuu hata we huwa unaiombea mabaya timu ile pinzani wako. so, usiwalaumu. hivi mechi ya marudio mnacheza lini?
Hizo hamsa ndizo mtakazopigwa nyie kwa mkapa kama wachezaji wenyewe ndo hao akina Nzengeli [emoji23][emoji23]Kufa kiume ndo hua ushindi wenu, acheni kuja kujifariji hapa, mjiandae kula Hamza cairo.
Aliwatoa mchezoni wenzake kushituka imoIla kiukweli lile bao la pili kwa Al-Ahly ametuponza Baleke kwa zile movement za ukorofi.
Mo aka Mwamedi janja janja chupri chupri katoa billion.Maadui wa mnyama SIMBA hasa baadhi ya wanayanga wasiojitambua waliomba dua zote SIMBA ifungwe
Wakafanya kila aina ya fitina mpaka majungu na masufuria bila kusahau ulozi.
Mpira una matokeo matatu
- Kufunga
- Kufungwa
- Suluhu
- Asanteni sana wachezaji wote
- Asanteni sana makocha wote
- Asanteni sana viongozi wote
- Asanteni sana wanasimba wote
- Asanteni wote wenye mapenzi mema na SIMBA, marafiki na jamaa pia
Asanteni maadui.. Sijui m hali gani saa huko mliko.. Naona mmeamua kujifariji na chambuzi za kindezi.. Nawasihi msiache .. Sisi letu limeshatimia
Gooooood night Tanganyika[emoji173][emoji173][emoji173][emoji419][emoji375]
View attachment 2787555
timu wanayoiponda Jana imewaletea magwiji wa soka duniani.[emoji419][emoji375]Kuna vichambuzi uchwara Kila siku vinaiponda Simba, timu wanayoiponda Jana imewaletea magwiji wa soka duniani.
Msiwe mnabadilikaMi sio Shabiki Anayetumia mahaba Kujudge Mechi mi naangalia Vitu vingi sana kimojawapo ni Aina ya wachezaji na Playing style,
Kiufupi Tu Simba wamejitahidi sana leo ila hilo Haliondoi ukweli kwamba Al ahly wanajulikana vizuri wakiwa uwanja wa Nyumbani jinsi wanavyokuaga,
Msema kweli mpenzi wa Mungu Simba wanaishia Kwata Faino
Vinginevyo wajinga wanaendelea kuharbu....Nafikiri Bakita waje na maana nyingine ya neno "kuheshimisha" . Vinginevyo wajinga wanaendelea kuharbu lugha yetu adhimu!.