Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,168
- 39,118
Kuna tetesi zinavuma na zinavuma kweli kweli. Hata baadhi ya WanaJF àmbao ni mashabiki wa Simba wanazipa chapuo kwamba Kwa vile Mchezaji Thadeo Lwanga Kwa Sasa ni majeruhi basi Simba watumie nafasi yake kusajili mchezaji mwingine na hivyo kuachana naye Kwa kumvunjia mkataba.
Tukio hili halitakuwa na kiungwana na litawavunja moyo Sana Wachezaji wanaobaki kwamba nao siku wakijeruhiwa watatupiwa virago. Thadeo ni mchezaji mzuri na ameifanyia mengi Simba katika nafasi yake ya Mkata Umeme, Leo kumbwaga Kwa sababu ya ugonjwa haitakuwa tofauti na Mtu anayetoa talaka Kwa mkewe sababu ya kuugua Muda mrefu ili apate nafasi ya kuoa binti mwingine.
Mambo mengine tunatafuta laana.
Tukio hili halitakuwa na kiungwana na litawavunja moyo Sana Wachezaji wanaobaki kwamba nao siku wakijeruhiwa watatupiwa virago. Thadeo ni mchezaji mzuri na ameifanyia mengi Simba katika nafasi yake ya Mkata Umeme, Leo kumbwaga Kwa sababu ya ugonjwa haitakuwa tofauti na Mtu anayetoa talaka Kwa mkewe sababu ya kuugua Muda mrefu ili apate nafasi ya kuoa binti mwingine.
Mambo mengine tunatafuta laana.