hiram
JF-Expert Member
- Aug 1, 2013
- 266
- 393
Mwaka 1999 timu ya Majimaji ya songea ilishiriki klabu bingwa na bila kuanzia raundi ya awali, walianzia mmoja kwa moja raundi ya kwanzakwa kucheza na Al Ahly kama ambavyo simba wataanza mwaka huu.
hii ilitokana na mafanikio ya kinchi yaliyoletwa na DAR YOUNG AFRICANS mwaka wa nyuma yake 1998.
SIMBA SIYO KLABU YA KUMI!!!!
Simba ni klabu ya 15 afrika na siyo ya 10 kama wanavyodai wachambuzi maandazi na wala siyo ya 12 kama anavyodai mohamed dewji
suala la kupewa exemption kutocheza raundi ya awali ni kwa vile timu zingine zilizoizidi simba kwenye Rank hazijapata nafasi za kuwakilisha nchi zao kwenye champions league Mfano Kaizer chief haijafanikiwa kupata nafasi kwenye ligi ya afrika ya kusini ya kuiwezesha kushiriki klabu bingwa, Pyramid pia haikupata nafasi ya kwanza wala ya pili kule misri kwa hiyo haipo champions league
hii ilitokana na mafanikio ya kinchi yaliyoletwa na DAR YOUNG AFRICANS mwaka wa nyuma yake 1998.
SIMBA SIYO KLABU YA KUMI!!!!
Simba ni klabu ya 15 afrika na siyo ya 10 kama wanavyodai wachambuzi maandazi na wala siyo ya 12 kama anavyodai mohamed dewji
suala la kupewa exemption kutocheza raundi ya awali ni kwa vile timu zingine zilizoizidi simba kwenye Rank hazijapata nafasi za kuwakilisha nchi zao kwenye champions league Mfano Kaizer chief haijafanikiwa kupata nafasi kwenye ligi ya afrika ya kusini ya kuiwezesha kushiriki klabu bingwa, Pyramid pia haikupata nafasi ya kwanza wala ya pili kule misri kwa hiyo haipo champions league