master of cities
JF-Expert Member
- Mar 14, 2015
- 429
- 625
Inashangaza sana kufungwa mfungwe nyie , timu mbovu mmerundikana nyuma tuuu , no On target hata moja , kibu D anakimbiza mpira kama nyumbu anaangalia Tu chini, wala haoni wenzake walio pembeni , hakuna attacking midfielder anayeweza kupunguza angalau wachezaji wawili ama wa tatu wa timu pinzani ili kumpa gap mshambuliaji afunge bila harassment, kipa wenu haelew hata anafanya nn , mnakosa penati Kiboya , mwisho mnatolewa na timu ambayo ipo disorganized , huku mkiprovide solid defense and zero attacking threats....
Mmekuja speed kufungua nyuzi za kujifariji , ooh hatuwadai , mara tumetoka kiume na bla bla kibao , kama haitoshi mnaanza kuishambulia Yanga , ......
Badala ya kukaa chini na kusuka upya kikosi cha magoi magoi mliyo nayo mnakuja kumshambulia mwenzenu ambaye ameshatanguliza mguu mmoja sermi final na kikombe cha ligi anachukua , .......
Haya basi tuseme nyie ndo mabingwa bas wa Champion league.... Hakunaga shujaa anayeshindwa , sasa mrudi mchunge mbuzi
Mmekuja speed kufungua nyuzi za kujifariji , ooh hatuwadai , mara tumetoka kiume na bla bla kibao , kama haitoshi mnaanza kuishambulia Yanga , ......
Badala ya kukaa chini na kusuka upya kikosi cha magoi magoi mliyo nayo mnakuja kumshambulia mwenzenu ambaye ameshatanguliza mguu mmoja sermi final na kikombe cha ligi anachukua , .......
Haya basi tuseme nyie ndo mabingwa bas wa Champion league.... Hakunaga shujaa anayeshindwa , sasa mrudi mchunge mbuzi