Simba kama mmekubaliana na kichapo cha Wydad msihamishie hasira Kwa Yanga

Simba kama mmekubaliana na kichapo cha Wydad msihamishie hasira Kwa Yanga

master of cities

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2015
Posts
429
Reaction score
625
Inashangaza sana kufungwa mfungwe nyie , timu mbovu mmerundikana nyuma tuuu , no On target hata moja , kibu D anakimbiza mpira kama nyumbu anaangalia Tu chini, wala haoni wenzake walio pembeni , hakuna attacking midfielder anayeweza kupunguza angalau wachezaji wawili ama wa tatu wa timu pinzani ili kumpa gap mshambuliaji afunge bila harassment, kipa wenu haelew hata anafanya nn , mnakosa penati Kiboya , mwisho mnatolewa na timu ambayo ipo disorganized , huku mkiprovide solid defense and zero attacking threats....

Mmekuja speed kufungua nyuzi za kujifariji , ooh hatuwadai , mara tumetoka kiume na bla bla kibao , kama haitoshi mnaanza kuishambulia Yanga , ......

Badala ya kukaa chini na kusuka upya kikosi cha magoi magoi mliyo nayo mnakuja kumshambulia mwenzenu ambaye ameshatanguliza mguu mmoja sermi final na kikombe cha ligi anachukua , .......

Haya basi tuseme nyie ndo mabingwa bas wa Champion league.... Hakunaga shujaa anayeshindwa , sasa mrudi mchunge mbuzi
 
Ndo ubingwa wao
 

Attachments

  • 1682759946904.jpg
    1682759946904.jpg
    5.4 KB · Views: 1
  • 1682764249800.jpg
    1682764249800.jpg
    44.4 KB · Views: 2
  • 1682764423081.jpg
    1682764423081.jpg
    50.5 KB · Views: 1
Jana ndiyo walihitimisha safari yao ya kupata kikombe chao pekee cha msimu huu.

Baada ya jana, tutarajie kichapo kingine kutoka kwa Azam kwenye nusu fainali ya ASFC.
 
Back
Top Bottom