LAPSE RATE
Member
- Oct 18, 2015
- 79
- 98
Kama inavojieleza hapo juu, waamuzi wa Tanzania kuna muda wanashindwa kwenda na matukio muhimu. Kijili aliwin Mpira kabla ya Ibrahim Baka, na aliguswa kutokea nyuma swala ambalo ni clear penalty. Azam media pia walijitahidi kuficha picha za marejeo (video replay). Tukio hili sijalipenda Mimi kama mdau wa michezo na huwasishabikii timu yoyote ya Mpira wa miguu Tanzania ispokuwa National Team (Taifa Stars). Alamsiki!
View attachment 3064942
Waje aseNgoja waje. Huku ndiko uliko ule ubora wetu sasa.
😂😂😂Kwanini usifunge goli lengine?
Naona inasambazwa propaganda na waandishi wa ovyo kuonekana Yanga imebebwa. Kaanza Shafii, kafuata Farhan kamalizia Oscar. Ila ukweli ni kwamba mechi ya leo laiti kama kungekuwa na VAR au waamuzi wangekuwa makini, Yanga walistahili penati 2 moja ni ya Dube na nyingine ni ya Azizi Ki. Kuna magoli mawili yamekataliwa kisa offside katika hilo ni moja ilikuwa ni goli halali kabisa. Na kuna move moja imeuliwa kwa offside want haikuwa offside. Penati ya Simba ni moja hivyo ni dhulma yanga imefanyiwa 4 Simba 1.Kama inavojieleza hapo juu, waamuzi wa Tanzania kuna muda wanashindwa kwenda na matukio muhimu. Kijili aliwin Mpira kabla ya Ibrahim Baka, na aliguswa kutokea nyuma swala ambalo ni clear penalty.
Azam media pia walijitahidi kuficha picha za marejeo (video replay). Tukio hili sijalipenda Mimi kama mdau wa michezo na huwasishabikii timu yoyote ya Mpira wa miguu Tanzania ispokuwa National Team (Taifa Stars). Alamsiki!
Hii ingebadilisha Kila kitu hata hiyo penalty wanayodai isingelitokea coz mpira ungekuwa kati au mda huo wangekuwa wanashangilia yangaMmeona mlipokandamizwa nyinyi tu, haya goli la Aziz Ki
Refa aliamua ku balance kwakua uo mpira ambao ungekua Penalty Mchezaji wa Simba Freddy koblan alifanikiwa ku upiga kichwa wakati ametumia mikono kupanda mabegani kwa Ibrahim Bacca.Hii ingebadilisha Kila kitu hata hiyo penalty wanayodai isingelitokea coz mpira ungekuwa kati au mda huo wangekuwa wanashangilia yanga
Ni kweli ila inakeraYashapita tugange yajayo
Siyo hivyo mkuu, ligi ya Tanzania maamuzi mengi utataMmeanza kulalama kama watoto wa kambo
Ndiyo maana nalaumu hawa marefaPia Azizi ki kakataliwa goli lingekubaliwa hicho kitu kisingetokea coz pattern ya mchezo ingebadilika yaan mpira ungeiletwa kati na kuanzishwa upya huku yanga ikiongiza kwa goal mbili