LAPSE RATE
Member
- Oct 18, 2015
- 79
- 98
- Thread starter
- #21
😃😃Simba nafasi waliyoiona ni hiyo tu dkk zote 90.
Hatakama wangepewa penalt tatu, kwahii Simba niliyoiona Jana sijui.
Simba Ni Kama kijana balehe anayeshindwa kula vituzz akisingizia godoro linateleza.