Simba kanyimwa penalty halali

Simba nafasi waliyoiona ni hiyo tu dkk zote 90.
Hatakama wangepewa penalt tatu, kwahii Simba niliyoiona Jana sijui.
Simba Ni Kama kijana balehe anayeshindwa kula vituzz akisingizia godoro linateleza.
πŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Utopolo na marefa wameanza walipomalizia mwaka jana
 
Amesahahu kuwa Yanga pia kanyimwa penalty, na bao moja la Pacome limekataliwa isivyo halali.

Hata hivyo nimeshavaa suti yangu kwenda harusini ambako aliyekuwa mke wa Mwaijaku anaolewa na Ali Kamwe
 
Simba nafasi waliyoiona ni hiyo tu dkk zote 90.
Hatakama wangepewa penalt tatu, kwahii Simba niliyoiona Jana sijui.
Simba Ni Kama kijana balehe anayeshindwa kula vituzz akisingizia godoro linateleza.
Aiseee
 
Watu wananyimwa unyumba hawapigi kelele, ninyi penalt vilio usiku kucha
 
Goli la Aziz Ki, offside ilikuwa kwa mchezaji gani?
 
Na Yanga pia kanyimwa goli halali na waamuzi wenu wa mchongo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…