Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,770
- 6,202
Mwijaku amebakia kutema mate muda wote kama mjamzito.Jamani kwa kikosi hiki kibovu walichonacho Makolos SC leo SAA 1 usiku naiomba draw tu match dhidi ya Namungo...
Sana tu, tena za waziwaziGSM tunaziona juhudi zake.
Mwaka huu sahau hyo Mr.. Sisi yanga kama kufungwa mwaka huu hatuwezi kufungwa match zaidi 2 na kama kudraw hatuwezi kudraw match zaidi ya 3.. Sasa kwa mahesabu hayo tu ubingwa tushachukuwa Tayar.Hata kama tukifungwa nyie MBWA hambebi ubingwa mwaka huu.
Ni kawaida hakuna shabiki wa Yanga anayeza kuiombea mema simba, kadhalika shabiki wa simba hawezi kuiombea mema yanga.Jamani kwa kikosi hiki kibovu walichonacho Makolos SC leo SAA 1 usiku naiomba draw tu match dhidi ya Namungo.
Namungo nipeni raha jamani, kama hotel nzuri tumeshawalipia tayari tena ni Serena Hotel ili yule mjinga wao Mwijaku azidi kusema kuwa tunawahujumu kumbe sasa hawana ngoma kwenye game.
Draw ya 0 - 0 tu inanitosha jamani Namungo yangu.