Tetesi: Simba Kikosi cha Mapinduzi Kucheza Kesho na Dodoma Jiji

Tetesi: Simba Kikosi cha Mapinduzi Kucheza Kesho na Dodoma Jiji

Binafsi imeniuma sana kusikia Chama, Onyango, Mzamiru, Kanoute, Ntibazonkiza, Sakho hawatakuwepo kesho. Hii ina Maana kwamba Kikosi cha mapinduzi ya Zanziba; Ndio watacheza kesho

Sababu Sijajua ni nini hasa. Pili bado wachezaji muhimu Kama Phiri, Inonga, Banda bado hawajapona rasmi

Tusitegemee ushindi kesho
Mlisajiri wachezaji wangapi kwenye timu? Mmesajiri wachezaji 30 na wanaokosekana ni 8 sasa hao wengine sio wachezaji au
 
Binafsi imeniuma sana kusikia Chama, Onyango, Mzamiru, Kanoute, Ntibazonkiza, Sakho hawatakuwepo kesho. Hii ina Maana kwamba Kikosi cha mapinduzi ya Zanziba; Ndio watacheza kesho

Sababu Sijajua ni nini hasa. Pili bado wachezaji muhimu Kama Phiri, Inonga, Banda bado hawajapona rasmi

Tusitegemee ushindi kesho
Acha woga wewe afu tuliza kipwinto kwanza..... Simba tayari inamaingizo matatu mapya ko unavyodhani wewe timu itapambana kama ilivyokua kule Zenji siyo?! hahahaa yani ulivyoyaona matokeo yale ya Zenji ndo yalipaswa kua vile hayo ya game ya kesho ni mengine kabisa....
 
Dom jiji wawe makini na hiz psyche games, wakileweshwa huu utumbo watapgwa nyingi mno hawataamini, mambo ya nje ya uwanja yamekuwa mengi.
 
Back
Top Bottom