Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Mkuu wacha kuwatisha wana Ntibazonkiza etii. 😂😂😂Mmeisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu wacha kuwatisha wana Ntibazonkiza etii. 😂😂😂Mmeisha
Mlisajiri wachezaji wangapi kwenye timu? Mmesajiri wachezaji 30 na wanaokosekana ni 8 sasa hao wengine sio wachezaji auBinafsi imeniuma sana kusikia Chama, Onyango, Mzamiru, Kanoute, Ntibazonkiza, Sakho hawatakuwepo kesho. Hii ina Maana kwamba Kikosi cha mapinduzi ya Zanziba; Ndio watacheza kesho
Sababu Sijajua ni nini hasa. Pili bado wachezaji muhimu Kama Phiri, Inonga, Banda bado hawajapona rasmi
Tusitegemee ushindi kesho
Mbona kama sijakuelewa vile!!...Ntibazongiza asipokuepo sawa tu sisi shida yetu ni ntibazonkiza
Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
Acha woga wewe afu tuliza kipwinto kwanza..... Simba tayari inamaingizo matatu mapya ko unavyodhani wewe timu itapambana kama ilivyokua kule Zenji siyo?! hahahaa yani ulivyoyaona matokeo yale ya Zenji ndo yalipaswa kua vile hayo ya game ya kesho ni mengine kabisa....Binafsi imeniuma sana kusikia Chama, Onyango, Mzamiru, Kanoute, Ntibazonkiza, Sakho hawatakuwepo kesho. Hii ina Maana kwamba Kikosi cha mapinduzi ya Zanziba; Ndio watacheza kesho
Sababu Sijajua ni nini hasa. Pili bado wachezaji muhimu Kama Phiri, Inonga, Banda bado hawajapona rasmi
Tusitegemee ushindi kesho
Chama amesema hana furaha kuwa chini ya huyu kocha mpyaMkuu wacha kuwatisha wana Ntibazonkiza etii. 😂😂😂
Ya ushindiMatokeo gani
Itaje hiyo mechi kama unaikumbukaKwani hakuna mechi ambazo Mayele hakuwepo na timu ikapata matokeo?
Hahahaaa. Tutayasikia mengi sana Mkuu na huu ndio mwanzo.Chama amesema hana furaha kuwa chini ya huyu kocha mpya
Matamanio ya utopolo!Chama amesema hana furaha kuwa chini ya huyu kocha mpya
Dhidi ya ihefu kule mbarali akuwepo na hamkupata matokeoKwani hakuna mechi ambazo Mayele hakuwepo na timu ikapata matokeo?
Kumbee nawewe ni, ila cha ndaniiii ni angesema Ntibhazonkiza!Yani ametamka ile ki native kabisa yani ile ya ndaniiiiii 😆 😆 😆