Simba kikosi kipana yaichakaza AFC goli 6

Simba kikosi kipana yaichakaza AFC goli 6

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
118651391_1696189880540020_1547762823729023395_o.jpg


Meddie Kagere goli 2
Rally Bwalya goli 1
Miqsonne goli 3
 
Ndo kazi ya nguruwe fc hiyo kuokoteleza vitimu vibovu ili ionekane inaupiga halafu ikukutana na wanaume wanaoiweza kazi Kama Namungo fc wanaishia kufunga magoli 2 tena yakusaidiwa na Mchezaji wa Yanga. BM33.

Hamna kikosi Hapo bwashee.
 
Mlikula 4 na nyie ni WABOVU?
Ndo kazi ya nguruwe fc hiyo kuokoteleza vitimu vibovu ili ionekane inaupiga halafu ikukutana na wanaume wanaoiweza kazi Kama Namungo fc wanaishia kufunga magoli 2 tena yakusaidiwa na Mchezaji wa Yanga. BM33.

Hamna kikosi Hapo bwashee.

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom