Simba kikosi kipana yaichakaza AFC goli 6

Ndo kazi ya nguruwe fc hiyo kuokoteleza vitimu vibovu ili ionekane inaupiga halafu ikukutana na wanaume wanaoiweza kazi Kama Namungo fc wanaishia kufunga magoli 2 tena yakusaidiwa na Mchezaji wa Yanga. BM33.

Hamna kikosi Hapo bwashee.
 
Mlikula 4 na nyie ni WABOVU?
Ndo kazi ya nguruwe fc hiyo kuokoteleza vitimu vibovu ili ionekane inaupiga halafu ikukutana na wanaume wanaoiweza kazi Kama Namungo fc wanaishia kufunga magoli 2 tena yakusaidiwa na Mchezaji wa Yanga. BM33.

Hamna kikosi Hapo bwashee.

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…