Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Stress on work!!MIKIA kila jambo wao wanaona jipya! Wakimataifa, wababe wa soka nchini tushaujaza uwanja wa Taifa mara kibao, tushacheza group stage michuano inayoandaliwa na CAF, Kila hatua ama jambo mnaloliona ni kubwa kimafanikio basi tambueni Yanga tumefanya na tutaendelea kufanya.
Jambo mlilotuzidi na katika hilo lazima tuwape hongera ni mfumo wa uendeshaji wa klabu yenu . . Nasi tunajisogeza taratibu tukifanikiwa tutawazidi vitu vingi japo mmekuwa wa kwanza kufanya mabadiliko!
HII NDIO YANGA TIMU YA WANANCHI, NGUVU YA UMMA!View attachment 976896
Churaaa umepaniq!MIKIA kila jambo wao wanaona jipya! Wakimataifa, wababe wa soka nchini tushaujaza uwanja wa Taifa mara kibao, tushacheza group stage michuano inayoandaliwa na CAF, Kila hatua ama jambo mnaloliona ni kubwa kimafanikio basi tambueni Yanga tumefanya na tutaendelea kufanya.
Jambo mlilotuzidi na katika hilo lazima tuwape hongera ni mfumo wa uendeshaji wa klabu yenu . . Nasi tunajisogeza taratibu tukifanikiwa tutawazidi vitu vingi japo mmekuwa wa kwanza kufanya mabadiliko!
HII NDIO YANGA TIMU YA WANANCHI, NGUVU YA UMMA!View attachment 976896
Humjawahi ona ndo maana mnashangaaTaifa kubwa [emoji91] View attachment 976900
😠😠Mikia buanaChuraaa umepaniq!
Kanywe maji tuliza tako
Nakazia yote uliyoyasema na kuulizaMkuu unateseka. Ingekuwa mimi nisingekumbusha eti tulicheza makundi!!!
Mliweka rekodi ya kufungwa goli 6 bila hata kushinda mechi moja.
Unaweka picha mkicheza na Simba!!Au ile mliyoingia bure na bado mkafungwa na Mazembe?
Vipi umehamia timu gani?Baada ya waya za spika kuchomolewa jumapili?
Hivi Nkana ndio wale au kuna wengine?
Safari ya Mbeya linatembezwa bakuli .Hizo bando unazotumia hapa kuandika ujinga ungetumia hizo pesa kuchangia timu yako.
Hii ahsante manji walienda hadi wasio enda vuta picha simba wamelipa kiingilio na wamefurika hivyo ingekuwa bure si watu wangezuia hadi daraja la mfugale mkuuMIKIA kila jambo wao wanaona jipya! Wakimataifa, wababe wa soka nchini tushaujaza uwanja wa Taifa mara kibao, tushacheza group stage michuano inayoandaliwa na CAF, Kila hatua ama jambo mnaloliona ni kubwa kimafanikio basi tambueni Yanga tumefanya na tutaendelea kufanya.
Jambo mlilotuzidi na katika hilo lazima tuwape hongera ni mfumo wa uendeshaji wa klabu yenu . . Nasi tunajisogeza taratibu tukifanikiwa tutawazidi vitu vingi japo mmekuwa wa kwanza kufanya mabadiliko!
HII NDIO YANGA TIMU YA WANANCHI, NGUVU YA UMMA!View attachment 976896
Kama upo moshi njo hapa tanzanite [emoji23][emoji23] ugonge vyomboMkuu unateseka. Ingekuwa mimi nisingekumbusha eti tulicheza makundi!!!
Mliweka rekodi ya kufungwa goli 6 bila hata kushinda mechi moja.
Unaweka picha mkicheza na Simba!!Au ile mliyoingia bure na bado mkafungwa na Mazembe?
Vipi umehamia timu gani?Baada ya waya za spika kuchomolewa jumapili?
Hivi Nkana ndio wale au kuna wengine?
Safari ya Mbeya linatembezwa bakuli .Hizo bando unazotumia hapa kuandika ujinga ungetumia hizo pesa kuchangia timu yako.
Mbutembute fc mnashida sana...hebu nipe ile namba yenu ya kapu, niwadundulizie buku tatu, otherwise nainywa windhoek sasa hivi...MIKIA kila jambo wao wanaona jipya! Wakimataifa, wababe wa soka nchini tushaujaza uwanja wa Taifa mara kibao, tushacheza group stage michuano inayoandaliwa na CAF, Kila hatua ama jambo mnaloliona ni kubwa kimafanikio basi tambueni Yanga tumefanya na tutaendelea kufanya.
Jambo mlilotuzidi na katika hilo lazima tuwape hongera ni mfumo wa uendeshaji wa klabu yenu . . Nasi tunajisogeza taratibu tukifanikiwa tutawazidi vitu vingi japo mmekuwa wa kwanza kufanya mabadiliko!
HII NDIO YANGA TIMU YA WANANCHI, NGUVU YA UMMA!View attachment 976896
Simba ni timu ya watu? Unamaanisha nn? Kwamba Simba ina watu kuliko Yanga itakuwa kujidanganya mkuu...Hii ahsante manji walienda hadi wasio enda vuta picha simba wamelipa kiingilio na wamefurika hivyo ingekuwa bure si watu wangezuia hadi daraja la mfugale mkuu
Kubali tu simba ni timu ya watu
Mbali ni mfumo mpya tu mengine yaleyale tuYanga kujilinganisha na Simba ni wehu. Simba iko mbali kwa kila kitu
unayo hiyo hiyo halafu unasema utupe,wakati naww jua kaliMbutembute fc mnashida sana...hebu nipe ile namba yenu ya kapu, niwadundulizie buku tatu, otherwise nainywa windhoek sasa hivi...
Kwanza nilikuwa nakutania tu, hata buku sina ni kweli nimepauka mbaya na hili jua!unayo hiyo hiyo halafu unasema utupe,wakati naww jua kali
Lete tuKwanza nilikuwa nakutania tu, hata buku sina ni kweli nimepauka mbaya na hili jua!
...na mie nitaleta bakula pale bwawani mnichangie!