Mpini Wa Chuma
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 1,728
- 1,327
Aliemuelewa huyu.Hata Simba alivyofuzu mwaka 2003, alikuwa jamvi LA wageni, kila time kwenye kundi lake alikuwa anajibandulia kiasi abachotaka basi. Kwa hiyo tusiwapoteshe watu hapa, huo ndiyo ukweli.
Kikao cha wagangaTaifa kubwa [emoji91] View attachment 976900
MIKIA kila jambo wao wanaona jipya! Wakimataifa, wababe wa soka nchini tushaujaza uwanja wa Taifa mara kibao, tushacheza group stage michuano inayoandaliwa na CAF, Kila hatua ama jambo mnaloliona ni kubwa kimafanikio basi tambueni Yanga tumefanya na tutaendelea kufanya.
Jambo mlilotuzidi na katika hilo lazima tuwape hongera ni mfumo wa uendeshaji wa klabu yenu . . Nasi tunajisogeza taratibu tukifanikiwa tutawazidi vitu vingi japo mmekuwa wa kwanza kufanya mabadiliko!
HII NDIO YANGA TIMU YA WANANCHI, NGUVU YA UMMA!View attachment 976896
Simba tumecheza fainali na Stella Abidjan kombe la shirikisho barani Africa.Pia nusu fainali kombe la klabu bingwa Africa.MIKIA kila jambo wao wanaona jipya! Wakimataifa, wababe wa soka nchini tushaujaza uwanja wa Taifa mara kibao, tushacheza group stage michuano inayoandaliwa na CAF, Kila hatua ama jambo mnaloliona ni kubwa kimafanikio basi tambueni Yanga tumefanya na tutaendelea kufanya.
Jambo mlilotuzidi na katika hilo lazima tuwape hongera ni mfumo wa uendeshaji wa klabu yenu . . Nasi tunajisogeza taratibu tukifanikiwa tutawazidi vitu vingi japo mmekuwa wa kwanza kufanya mabadiliko!
HII NDIO YANGA TIMU YA WANANCHI, NGUVU YA UMMA!View attachment 976896
Hii post ina reflect thinking capacity yako. Pole sana, yaani baba na mamako wakiona ulichoweka hapa watajutia kukuleta Duniani.
ikibidi wayachambieNeno 'Simba' halikauki kwenye vinywa vyenu? Kweli Simba kama Maji umekataa kuyaoga hatimaye umeyanywa.