Simba Kila jambo wanashangaa

Simba Kila jambo wanashangaa

Hata Simba alivyofuzu mwaka 2003, alikuwa jamvi LA wageni, kila time kwenye kundi lake alikuwa anajibandulia kiasi abachotaka basi. Kwa hiyo tusiwapoteshe watu hapa, huo ndiyo ukweli.
Aliemuelewa huyu.
 
MIKIA kila jambo wao wanaona jipya! Wakimataifa, wababe wa soka nchini tushaujaza uwanja wa Taifa mara kibao, tushacheza group stage michuano inayoandaliwa na CAF, Kila hatua ama jambo mnaloliona ni kubwa kimafanikio basi tambueni Yanga tumefanya na tutaendelea kufanya.

Jambo mlilotuzidi na katika hilo lazima tuwape hongera ni mfumo wa uendeshaji wa klabu yenu . . Nasi tunajisogeza taratibu tukifanikiwa tutawazidi vitu vingi japo mmekuwa wa kwanza kufanya mabadiliko!

HII NDIO YANGA TIMU YA WANANCHI, NGUVU YA UMMA!View attachment 976896
20181226_100239.png
 
MIKIA kila jambo wao wanaona jipya! Wakimataifa, wababe wa soka nchini tushaujaza uwanja wa Taifa mara kibao, tushacheza group stage michuano inayoandaliwa na CAF, Kila hatua ama jambo mnaloliona ni kubwa kimafanikio basi tambueni Yanga tumefanya na tutaendelea kufanya.

Jambo mlilotuzidi na katika hilo lazima tuwape hongera ni mfumo wa uendeshaji wa klabu yenu . . Nasi tunajisogeza taratibu tukifanikiwa tutawazidi vitu vingi japo mmekuwa wa kwanza kufanya mabadiliko!

HII NDIO YANGA TIMU YA WANANCHI, NGUVU YA UMMA!View attachment 976896
Simba tumecheza fainali na Stella Abidjan kombe la shirikisho barani Africa.Pia nusu fainali kombe la klabu bingwa Africa.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Elimu Elimu Elimu rangi za Father Christmas ni nyekundu na nyeupe.Rangi za CHRISTMAS ndio ipo gold na green.
Na ipo gold na green kwa sababu ya christmas tree na decorations.
Father Christmas ndicho kinachoongelewa. Rangi zake ni nyekundu na nyeupe.
Pukachaka.
 
Back
Top Bottom