Simba kipimo chenu Kombe la Shirikisho ni kufika Fainali na si vinginevyo. Mliwabeza Yanga sasa ngoja tuwaone

Simba kipimo chenu Kombe la Shirikisho ni kufika Fainali na si vinginevyo. Mliwabeza Yanga sasa ngoja tuwaone

Majok majok

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2023
Posts
783
Reaction score
2,057
Rasmi, Simba imeangukia Kombe la Shirikisho barani Africa ambalo wenzao Yanga walifika Fainali na kuukosa ubingwa kwa kanuni!

Sasa ni kipimo kwa Simba kutuonyesha namna kombe ilo lilivyo jepesi kama walivyokuwa wakiwabeza Yanga ambao walikwenda mpaka Fainali, tunawasubilia kuwaona namna watakavyofika Fainali ya Kombe hilo waliloliita Looser Cup.

Hicho ndicho kipimo cha kuona watavyovuka kiwepesi mpaka Fainali kutokana na uwepesi wa michuano yenyewe kama walivyojinasibu!

Tunawapongeza pia wanachama na mashabiki wa Simba na viongozi wao makini kina Try Again, Mo dewji, na Mangungu kwa kuiwezesha timu yao kushika nafasi ya tatu, hongereni sana!
 
Final Simba sc ilifika mwaka 1993 kwenye league ya shirikisho,hivyo yanga ndio anafuata nyayo za Simba sc kwenye kila kitu..popote mlipo Simba kashapita akiwa wa kwanza miaka 30 iliyopita kabla hamjajua kupengq kamasi.

Superleague Simba ndio ya kwanza kucheza ..na club bingwa ndio kachafua sana huko tokea nchi ipate uhuru..kumbuka nyie mmejitafuta kucheza hatua ya akundi club bingwa juzi baadaa kujitafuta k2a miaka 30,

Simba sc ndio timu ya kwanza kuchukua kombe la ligii kuu Tanzani tena kwa mfululuzo mwaka 1965 na 1966..
UKUBWA WA TIMU SIO MWAKA WA UWAZISHAJI BALI NI ILYOTANGULIA KUCHUKUA KOMBE KWENYE LIGI HUSIKA KABLA YA NYINGINE,PIA UKUBWA WA TIMU KATIKA BARA LAKE..TUKIJIKITA KWENYE UWAZISHAJI HATA HUKU MTAANI NA MASHULENI KUNA TIMU NYINGI ZILIANZISHWA KABLA YA SIMBA SC NA YANGA.

Pia Simba sc imrshafika nusu final club bingwa mwaka 1974...yanga mpaka afika nusu final club bingwa Simba itakuwa imechukua kombe la club bingwa mara tano.

Ngoja niweke sawa hili kama ifuatavyo maana washabiki wa yanga ni manyumbu au ni sawa na kondoo ambao wakwanza ukimuwekea kamba akaruka kisha ukatoa hiyo kamba wengine wanaokuja wanaruka hata kama umeshatoa hiyo kamba..ipo hivi hiyo league Simba sc iliyocheza ikafika final mwaka 1993 ni kombe la shirikisho ila ilikuwa na jina tofauti na sasa ila league na kombe ndio shirikisho kama inavyojulikana sasa,ni kama ligi kuu yatanzania mara ilikuwa inaitwa Vodacom n.k sasa hivi ni NBC...
Pia Rais wetu mama Samia aliwathibitishia..sasa wewe ni nani mpaka ubishane na nchi na imeshathibitisha
 
Final Simba sc ilifika mwaka 1993 kwenye league ya shirikisho,hivyo yanga ndio anafuata nyayo za Simba sc kwenye kila kitu..popote mlipo Simba kashapita akiwa wa kwanza miaka 30...
SIMBA HAKUWAHI FIKA FAINALI YA SHIRIKISHO.

Alifika fainali katika kombe la hadhi ya tatu katika michuano ya CAF.

Ni sawa Ulaya tuseme kafika fainali ya EUFA CONFERENCE LEAGUE ya kina Watford.

Usitudanganye hapa we kijana.

Tatizo progression.

Hata Ajax ilikua timu tishio Ulaya miaka ya nyuma ila Barcelona keshampita rekodi.
 
Hongera mtani kushika nafasi ya tatu sio kazi rahisi, waliosema confederation cup ni kombe la looser sijui kama wamebadili kauli ila ndio hivyo tunakumbuka hizo statement, na ni michuano rahisi kazi kwenu mtulipe tulikofika Mungu ni wetu sote
 
Final Simba sc ilifika mwaka 1993 kwenye league ya shirikisho,hivyo yanga ndio anafuata nyayo za Simba sc kwenye kila kitu..popote mlipo Simba kashapita akiwa wa kwanza miaka 30 iliyopita kabla hamjajua kupengq kamasi...Superleague Simba ndio ya kwanza kucheza ..na club bingwa ndio kachafua sana huko tokea nchi ipate uhuru..kumbuka nyie mmejitafuta kucheza hatua ya akundi club bingwa juzi baadaa kujitafuta k2a miaka 30,pia Simba sc imrshafika nusu final club bingwa mwaka 1974...yanga mpaka afika nusu final club bingwa Simba itakuwa imechukua kombe la club bingwa mara tano.
Huyu Sasa ndo mfuasi halisi wa Rage
 
Final Simba sc ilifika mwaka 1993 kwenye league ya shirikisho,hivyo yanga ndio anafuata nyayo za Simba sc kwenye kila kitu..popote mlipo Simba kashapita akiwa wa kwanza miaka 30 iliyopita kabla hamjajua...
Eng.Hersi ataendelea kuwaburuza mpaka siku vichwa vyenu vikikaa sawa, Mangungu nae awezi kuachia ngazi kwakuwa anajua mtaji wake ni mbumbumbu Kama nyie!
 
Kwa viongozi hawa wa Simba,na huyu nwekezaji uchwara,sitarajii kuiona Simba zaidi ya robo fainali.
Ni msumivu lakini ndio uhalisia.
Kwanza Hersi anahonga wachezaji wa Simba kama akina inonga ili wacheze chini ya kiwango.Yanga akifika fainali klabu bingwa huenda ndio hao jamaa wataacha nongwa kucheza na saikolojia ya wachezaji wa Simba ambayo inadhaniwa kuwa kubwa kuliko yanga.
Siku yanga watakapokuwa wakubwa kweli ndipo wataacha fitna za kichawi wanazofanyia Simba ili wao wapande.
 
Kwa viongozi hawa wa Simba,na huyu nwekezaji uchwara,sitarajii kuiona Simba zaidi ya robo fainali.
Ni msumivu lakini ndio uhalisia.
Kwanza Hersi anahonga wachezaji wa Simba kama akina inonga ili wacheze chini ya kiwango.Yanga akifika fainali klabu bingwa huenda ndio hao jamaa wataacha nongwa kucheza na saikolojia ya wachezaji wa Simba ambayo inadhaniwa kuwa kubwa kuliko yanga.
Siku yanga watakapokuwa wakubwa kweli ndipo wataacha fitna za kichawi wanazofanyia Simba ili wao wapande.
Mfuasi halisi wa Rage.
Rage aliona mbali kuwauta mbumbumbu
 
Simba ina wachezaji wa hovyo,hawawezi kufika fainali wale vibwengo, Yanga ilifika fainali akitokea bingwa wa ligi na akatolewa kwenye club bingwa akaangukia shirikisho na alikuwa na timu nzuri, ili ujue Simba hawawezi kufika popote shirikisho ni kwamba hawapo hata club bingwa wameangukia nafasi ya 3, bila kuwa na viongozi makini ,usajili wa maana hata shirikisho hatufiki mbali.
 
Na nyie si ni wakubwa muweke malengo ya kikubwa huko klabu bingwa sio malengo ya kuvuka makundi kama watoto wa chekechea,sawa?
 
Kwa viongozi hawa wa Simba,na huyu nwekezaji uchwara,sitarajii kuiona Simba zaidi ya robo fainali.
Ni msumivu lakini ndio uhalisia.
Kwanza Hersi anahonga wachezaji wa Simba kama akina inonga ili wacheze chini ya kiwango.Yanga akifika fainali klabu bingwa huenda ndio hao jamaa wataacha nongwa kucheza na saikolojia ya wachezaji wa Simba ambayo inadhaniwa kuwa kubwa kuliko yanga.
Siku yanga watakapokuwa wakubwa kweli ndipo wataacha fitna za kichawi wanazofanyia Simba ili wao wapande.
Sasa Kama akili za wanachama wa Simba ziko hivi unategemea viongozi wenu wafanye Nini Cha ziada? Wanachama tu akili zao ni za kuvukia Barabara Kama unavyobumba hoja mfu Kama hizi vipi iyo timu inaweza kupiga hatua mbele? Mtaendelea kuburuzwa mpaka akili ziwakae sawa
 
Rasmi, Simba imeangukia Kombe la Shirikisho barani Africa ambalo wenzao Yanga walifika Fainali na kuukosa ubingwa kwa kanuni!

Sasa ni kipimo kwa Simba kutuonyesha namna kombe ilo lilivyo jepesi kama walivyokuwa wakiwabeza Yanga ambao walikwenda mpaka Fainali, tunawasubilia kuwaona namna watakavyofika Fainali ya Kombe hilo waliloliita Looser Cup.

Hicho ndicho kipimo cha kuona watavyovuka kiwepesi mpaka Fainali kutokana na uwepesi wa michuano yenyewe kama walivyojinasibu!

Tunawapongeza pia wanachama na mashabiki wa Simba na viongozi wao makini kina Try Again, Mo dewji, na Mangungu kwa kuiwezesha timu yao kushika nafasi ya tatu, hongereni sana!
Simba hii ya kijanja janja au small simba ya zanzibar?
 
Kwa viongozi hawa wa Simba,na huyu nwekezaji uchwara,sitarajii kuiona Simba zaidi ya robo fainali.
Ni msumivu lakini ndio uhalisia.
Kwanza Hersi anahonga wachezaji wa Simba kama akina inonga ili wacheze chini ya kiwango.Yanga akifika fainali klabu bingwa huenda ndio hao jamaa wataacha nongwa kucheza na saikolojia ya wachezaji wa Simba ambayo inadhaniwa kuwa kubwa kuliko yanga.
Siku yanga watakapokuwa wakubwa kweli ndipo wataacha fitna za kichawi wanazofanyia Simba ili wao wapande.
Kwahiyo CR belouzdad wachezaji wake walihongwa wacheze chini ya kiwango pia!??
We hujielewi kweli wewe.
Unaweza kuleta ushahidi wa Inonga kuhongwa!?
 
Back
Top Bottom