Simba kuachana na Morrison ni uthibitisho kuwa ni taasisi imara

Naam ,ukiwa hujawa regular first eleven hiyo ni ishara kuwa wewe ni mchezaji wa kawaida tu kwenye timu.

Jiulize
Morison ama asist ngapi?
Ana magoli mangapi
Ametengeneza clear chances ngapi

Hapo ndo utajua huyu ni muhimu sana au wa kawaida tu

Kwangu wachezaji Chama na Miqueson ndiyo iliumiza kuwapoteza , huyu ana imbalance timu ndiyo maana hana consistency
Mchezaji wa kuliliwa anamaliza msimu hata goli 10 hana , wala asist 10 hana huyo ni wa kawaida tu ,hata katika derby alizocheza keshafunga goli 1 tu miaka 3 yote aliyokaa katika timu hizi huyu ndo wa kuliliwa?
 
Huyu alitaka kuwaulia shabiki lakini utashangaa wanamsajili. Uto wanapenda sana mizoga.
 
Kubalini tu usajili wa Morrison ulikuwa ujinga kama mnavyoona kumwacha ni ushaujaa.

Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
 
Wakili msomi Bado yupo sana Simba, atarudi Simba. Morrison hajafukuzwa, nyie humu ndiyo mnataka afukuzwe.
 
Wakili msomi Bado yupo sana Simba, atarudi Simba. Morrison hajafukuzwa, nyie humu ndiyo mnataka afukuzwe.
 
Wakili msomi Bado yupo sana Simba, atarudi Simba. Morrison hajafukuzwa, nyie humu ndiyo mnataka afukuzwe.
 
Morrison Out Amepisha usajili Wa Miquison
 
Itakuwa mwenyewe kachoka kubebeshwa mahirizi mpaka ya kilo 20
 
Metacha Mnata aliekuwa kipa tegemeo wa Yanga mbona aliondolewa kwa kukosa nidhamu?
 
kwani simba mnataka kuanzisha shule?ss yanga atuna adui wa kudumu welcom back mapung'o
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…