Simba kuboronga kumeanza rasmi

Simba kuboronga kumeanza rasmi

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Kutoka 7_ 0 na Ruvu hadi 0_0 na Azam ni kawaida. 1.3 bil za usajili Simba hazilingani na sare na Azam. Hofu imeshatanda kuanzia kwa H..aji Manele, wachezaji, wafadhili na mashabiki wa Simba SC hasa kutokana na kuamini kuwa Niyonzima na Okwi ni kete za ushindi kila mechi.

Sare ile ni tumbo la Shari kwao. Sare ile imeongeza confidence kwa timu nyingine katika mechi zao na Simba. Ni heri ya Yanga iliyoanza kwa sare na utaoNa habari yake mechi zinazofuata
 
Kutoka 7_ 0 na Ruvu hadi 0_0 na Azam ni kawaida. 1.3 bil za usajili Simba hazilingani na sare na Azam. Hofu imeshatanda kuanzia kwa H..aji Manele, wachezaji, wafadhili na mashabiki wa Simba SC hasa kutokana na kuamini kuwa Niyonzima na Okwi ni kete za ushindi kila mechi.

Sare ile ni tumbo la Shari kwao. Sare ile imeongeza confidence kwa timu nyingine katika mechi zao na Simba. Ni heri ya Yanga iliyoanza kwa sare na utaoNa habari yake mechi zinazofuata
Huo ndio mwisho wa kufikiria kwako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi unaweza kushinda game zote za ligi?!

Hata ile Arsenal "INVICIBLE" bado ilitoa sare zaidi ya 7.

Haya ni mawazo ya watu wasio jua mpira.

Ligi bado mbichi, matokeo yoyote yaweza kutokea hata kama una Timu bora.

Man U ilikuwa haijaruhusu goli katika mechi 3 za ligi, lakini katika game moja tu wameruhusu goli 2 jana. Huu ni mpira..!

Ushabiki wa hivi unakera..!
 
Hivi kati ya aliyetoa sare na Lipuli na aliyetoa sare na Azam, yupi anatakiwa ajitafakari zaidi?
 
Hao Simba kazi kutangulia na baiskeli ya mbao tu kisha wanaume wakiwapita na baiskeli ya sports wanakimbilia FIFA!
 
Back
Top Bottom