Simba kuboronga kumeanza rasmi

wamesajiri john boko kimeo anapaisha tu mashuti.
 


Umetokwa na povu lisilo na msingi.
 
Kama unalijua hilo mwambie Manele aache kuropoka hewani. Yeye amesema ni mwendo wa dozi kubwa kwa timu zote, kumbe simba yenyewe inaonekana sasa ni okwi wala sio niyonzima kama Manele alivyotaka kuwaaminisha mashabiki wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…