Simba kudondosha points mechi zote 3 zijazo

Simba kudondosha points mechi zote 3 zijazo

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Simba ana mechi ngumu zijazo
Hizo mechi zote anaenda kudondosha alama 7

24 February
Simba vs Azam
Licha ya undugu wa damu alionao Simba na Azam. Naamini hii mechi Azam atamkazia Simba ili aweze kushika nafasi ya pili na kucheza CAFCL sio UMITASHUMITA shirikisho
Na Azam wana hasira, baada ya Ahmed Ali kuwaita Azam nzi wa choo, wala kinyesi. Hapa Simba na Azam zitagawana alama. Hii mechi ni sare.

1 March
Coast union vs Simba
Hii mechi itakuwa away huko Arusha
Tunajua Simba Huwa anapata Shida mechi za away na Huwa anashinda Kwabeleko Kwa maana ya red card na penalties. Waamzi wakitenda haki hapa ni sare au Simba apoteza, maana atakuwa ametoka kutumia nguvu kubwa kwenye Mzizima derby

8 March
Young Africans vs Simba
Hapa ndo balaa. Yaani Simba wanaoingia kwenye geto la Pdidy hapa lazima Simba wapakwe mafuta. Yanga atashinda goli 5+

Huu mtego Simba wamenasa
Yanga bingwa.

markup_1000106131.png
 
Simba ana mechi ngumu zijazo
Hizo mechi zote anaenda kudondosha alama 7

24 February
Simba vs Azam
Licha ya undugu wa damu alionao Simba na Azam. Naamini hii mechi Azam atamkazia Simba ili aweze kushika nafasi ya pili na kucheza CAFCL sio UMITASHUMITA shirikisho
Na Azam wana hasira, baada ya Ahmed Ali kuwaita Azam nzi wa choo, wala kinyesi. Hapa Simba na Azam zitagawana alama. Hii mechi ni sare.

1 March
Coast union vs Simba
Hii mechi itakuwa away huko Arusha
Tunajua Simba Huwa anapata Shida mechi za away na Huwa anashinda Kwabeleko Kwa maana ya red card na penalties. Waamzi wakitenda haki hapa ni sare au Simba apoteza, maana atakuwa ametoka kutumia nguvu kubwa kwenye Mzizima derby

8 March
Young Africans vs Simba
Hapa ndo balaa. Yaani Simba wanaoingia kwenye geto la Pdidy hapa lazima Simba wapakwe mafuta. Yanga atashinda goli 5+

Huu mtego Simba wamenasa
Yanga bingwa.

View attachment 3246865
Hicho ndio wanachostahili,kwani janja janja yao na waamuzi uchara tayari hadharani,hivyo wanaochezesha ijayo wanajotenga na ushenzi,hivyo ni weka ugoko ni weke jino la njumu.
 
Leo bwana harusi kajitoa sub na siyo kwa sababu ya kuumia. Hii ni timu ya mpira au kikundi cha wahuni?

Mtu badala ya kumuachia aende Dubai akale mzigo alioutolea fuso mbili za ng'ombe mnampeleka Kigoma.
Kuoa Kwa Azizi ki kunakuumiza kichwa sana
Ulitaka asiowe
 
"Tunataka kuona katika Taifa hili, vijana jeuri na wenye kujiamini, si vijana waoga, akina "ndiyo bwana mkubwa", vijana wanaohoji na kupiga vita mifumo ya jamii isiyoshabihiana na matakwa na matarajio ya jamii ya kitanzania. Tunataka vijana waasi dhidi ya mifumo kandamizi, ubwana na ufisadi katika Taifa"

RIP mwalimu yamezaliwa matahira na mashoga.
Kupigania uhuru kote kule Kumbe yalikuwa yanazaliwa na mabwabwa.

Mwl J.K. Nyerere, Rais wa Kwanza wa Tanzania
 
"Tunataka kuona katika Taifa hili, vijana jeuri na wenye kujiamini, si vijana waoga, akina "ndiyo bwana mkubwa", vijana wanaohoji na kupiga vita mifumo ya jamii isiyoshabihiana na matakwa na matarajio ya jamii ya kitanzania. Tunataka vijana waasi dhidi ya mifumo kandamizi, ubwana na ufisadi katika Taifa"

RIP mwalimu yamezaliwa matahira na mashoga.
Kupigania uhuru kote kule Kumbe yalikuwa yanazaliwa na mabwabwa.

Mwl J.K. Nyerere, Rais wa Kwanza wa Tanzania
Vijana wa Kitanzania hawawezi kushika jembe na kulima
Wapo mtandaoni wanaomba kazi yoyote hata kazi za ndani,
 

Attachments

  • downloadfile-4.jpg
    downloadfile-4.jpg
    155.5 KB · Views: 2
Back
Top Bottom