Simba kudondosha points mechi zote 3 zijazo

Simba kudondosha points mechi zote 3 zijazo

Attachments

  • downloadfile-4.jpg
    downloadfile-4.jpg
    155.5 KB · Views: 1
Leo bwana harusi kajitoa sub na siyo kwa sababu ya kuumia. Hii ni timu ya mpira au kikundi cha wahuni?

Mtu badala ya kumuachia aende Dubai akale mzigo alioutolea fuso mbili za ng'ombe mnampeleka Kigoma.
Kwani huo mzigo kaanza kuula baada ya kuutolea ng'ombe kwamba una cha ajabu? Acha ukuda makolo wewe!!!
 

Attachments

  • downloadfile-4.jpg
    downloadfile-4.jpg
    155.5 KB · Views: 1
Simba na Yanga ni mtaji wa CCM.
Washabiki wa Yanga na 5imba ni asilimia ndogo sana kwenye nchi hii when it comes to politics. Sijui unataka kusema hao washabiki wanaishabikia CCM au maana yake ni nini?
 
Simba ana mechi ngumu zijazo
Hizo mechi zote anaenda kudondosha alama 7

24 February
Simba vs Azam
Licha ya undugu wa damu alionao Simba na Azam. Naamini hii mechi Azam atamkazia Simba ili aweze kushika nafasi ya pili na kucheza CAFCL sio UMITASHUMITA shirikisho
Na Azam wana hasira, baada ya Ahmed Ali kuwaita Azam nzi wa choo, wala kinyesi. Hapa Simba na Azam zitagawana alama. Hii mechi ni sare.

1 March
Coast union vs Simba
Hii mechi itakuwa away huko Arusha
Tunajua Simba Huwa anapata Shida mechi za away na Huwa anashinda Kwabeleko Kwa maana ya red card na penalties. Waamzi wakitenda haki hapa ni sare au Simba apoteza, maana atakuwa ametoka kutumia nguvu kubwa kwenye Mzizima derby

8 March
Young Africans vs Simba
Hapa ndo balaa. Yaani Simba wanaoingia kwenye geto la Pdidy hapa lazima Simba wapakwe mafuta. Yanga atashinda goli 5+

Huu mtego Simba wamenasa
Yanga bingwa.

View attachment 3246865
We ujui Mo kawekeza kwa marefa? Wenzake wanadhamini timu zipate uwezo wa kujiendesha yeye anadhamini marefa wamsaidie kupata matokeo ya mchongo,,kwa maana iyo mechi ya coast ni familia ikishindikana refa yupo atamaliza utata,, mechi na Azam ni familia ikishindikana refa yupo atapewa advance ya malipo ilimradi waingie kwenye box mengine wamwachie refa atafunika,,mechi na yanga hapo ndio watatema ndoano maana watakutana na kisiki zaidi yao!
 
Kwani huo mzigo kaanza kuula baada ya kuutolea ng'ombe kwamba una cha ajabu? Acha ukuda makolo wewe!!!
Kama uliangalia au ulihudhuria harusi wewe uliona dalili za mtu kuwa ameshakula mzigo pale? 😂🤣😂
 
We ujui Mo kawekeza kwa marefa? Wenzake wanadhamini timu zipate uwezo wa kujiendesha yeye anadhamini marefa wamsaidie kupata matokeo ya mchongo,,kwa maana iyo mechi ya coast ni familia ikishindikana refa yupo atamaliza utata,, mechi na Azam ni familia ikishindikana refa yupo atapewa advance ya malipo ilimradi waingie kwenye box mengine wamwachie refa atafunika,,mechi na yanga hapo ndio watatema ndoano maana watakutana na kisiki zaidi yao!
Ubora wa Simba haupimwi na mechi za ligi ya NBC pekee, kachungulie rank za kimataifa.
 
Yanga wamuombe kayoko achezeshe tena ili awaokoe vinginevyo kipigo cha mbwa koko mwizi wa nyama kipo palepale.
mkuu umewahi kuwaza kayoko angekuwa fair akampa jamaa kadi nyekundu ya mapema sana msinge pigwa 5 tena
 
Game ya Yanga anashinda 2 au 3. Inabidi iwe hivyo tu, kutakuwa na makosa kadhaa ya marefa ila mnyama anatoboa, sijui kuhusu hizo game zingine.
 
Kama uliangalia au ulihudhuria harusi wewe uliona dalili za mtu kuwa ameshakula mzigo pale? 😂🤣😂
Mtu akila mzigo au asile we utajuaje?
Itakusaidia nini?
Mwache kuongelea maisha binafsi ya Azizi ki, tuongelee na kukosa kazi yake
 
Ubora wa Simba haupimwi na mechi za ligi ya NBC pekee, kachungulie rank za kimataifa.
Tunajua unapimwa na rank za kimataifa kwenye kombe la wamama na kiwango chenu uko ni Bora sana bwana mbumbumbu!
 
Kuomba kazi ni makosa.

Mwalimu Nyerere alisisitiza sana "uhuru na kazi".

SIO UHURU NA USHOGA .
WEWE NI SHOOGA.
 
Hii timu ya Penalty kadi nyekundu hapati point zaidi ya mbili hapo
 
Back
Top Bottom