Simba kufanya maandano jumanne kisa points 3 dhidi ya Kagera Sugar

Simba kufanya maandano jumanne kisa points 3 dhidi ya Kagera Sugar

I am Simba fan. Tuache mpira wa visingizio na kusaka points za bwerere. Tunapaswa kutoka jasho. Tungekuwa na points 68 na anaetufuata akiwa na 52, huo upuuzi sijui wa maandamano mara kudai point za kibudu tungesahau na kupata ushindi wa heshima
 
Na Bashite atayaongoza maandamano haya akiambatana na Manara.

Maandamano FC imekua kituko.
 
Fifa wangetupumzisha m.iaka 10 tujifunze kuheshimu taratibu za mpira. Hii yote ni sababu Pccb wamelala usingizi. Kina kaburu wanahonga wanaharibu mpira,
 
Klabu ya Simba Sc yenye makao yake makuu mtaa
wa Msimbazi, Kariakoo jijini Dar es salaam
inatarajiwa kufanya maandamano ya amani siku ya
jumanne.
Katika barua iliyoandikwa na Rais wa klabu hiyo
Evans Aveva kwenda kwa Kamishina wa Kanda
Maalum wa jeshi la Polisi mkoa wa Dar es
salaam, Simba watafanya maandamano hayo
kuanzia saa 4 kamili asubuhi mpaka saa 7
mchana.
Maandamano hayo yataanzia makao makuu ya
klabu ya Simba kuelekea ofisi ya Waziri wa
Habari, Sanaa, Utamaduni na Mchezo yakiwa na
ujumbe wa uonevu wanaofanyiwa na Shirikisho la
Mpira wa Miguu Tanzania (TFF),
Klabu ya Simba imekua na malalamiko mengi
TFF na yamekua hayasikilizwi kwa kipindi kirefu,
lakini pia tumepata taarifa za kuitwa Kamati ya
Maadili msemaji wetu wakiwa na lengo la
kumziba na kumfunga mdomo asiweze kuseme
uonevu huo.
View attachment 499177
Omb Omba FC a k a Matonya FC wanachekesha mbaya.
 
Walivunja viti na sasa wanataka kutuvunjia amani huu ni uchochezi wasiruhusiwe kuandamana hawa
 
Nimesoma vizuri barua ya simba kuhusu kuandamana

'Wanataka kuandamana kuanzia msimbazi hadi zilipo ofisi za wizara ya michezo ndio *OFISI ZA WIZARA YA MICHEZO*

*Tunakumbushana ofisi za wizara zipo Dodoma*[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nimesoma vizuri barua ya simba kuhusu kuandamana

'Wanataka kuandamana kuanzia msimbazi hadi zilipo ofisi za wizara ya michezo ndio *OFISI ZA WIZARA YA MICHEZO*

*Tunakumbushana ofisi za wizara zipo Dodoma*[emoji23][emoji23][emoji23]
Nadhani kwa miguu watafika mwezi wa tano dodoma
 
Simba imekosa viongozi. Mpira utaendelea vipi kama watumishi wanakuwa style za Manara na Jerry Murro.
 
Simba ni mkia fc hivi nyie mmepewa point za uongo harafu muna taka tukae kimya
 
Back
Top Bottom